Natafuta mume wa kunioa awe Muislam

0654 879 476 nicheki tuengee fresh, mume ushapata tayar,single currently afte losing my lover,,,
 
Awe muislamu!! Kwa nini huna mapenzi ya dhati eti!

Maana waislam wanakanuni ya kuoa wake hadi wanne kwa dababu ni wenye tamaa kwa mmoja hawaridhiki.

Sasa atakapoongeza mwingine thamani yako itakuwa ile unayoizungumza!

Unaogopa mkristo kwa kuwa ni gorever.
 
Nashauri utumie lugha moja ili tukuelewe acha kutuchanganyia habari hapa ebo ........
 
Sifa zote ninazo kasoro mbili tu...
1. Mimi ni Mkristo 2. umri wangu under 30 ngoja wenye hizo sifa waje usikate tamaa Mungu atakusaidia utapata
 
[QUOTE=Abigail30yrs!;Wewe ushazeeka tayari.Uliibania mno;Halafu hiyo ya kubagua dini ndio kabisaaa ishakukosesha Mme coz mwanamke hana dini ni wa wote.

Huyu hataki kuolewa
 
nimeweka email address kwenye thread, nitatoa namba later kwa ambaye tutakubaliana. So mean time tuwasiliane kwa email hiyo.
hapo kwenye dini, cjui, maana unaonesha we mbaguzi. Hata tamaa nishakata. Ucbague mtu, maana mtu mweuc alikuwa na dini yake, tuctengane kwa dini.
 

Vp tupe mrejesho kama umefanikiwa kupata...au bado unawafanyia interview waombaji??
 
Mtaani kwenu kote hujaona wakukufaa mpaka uje uhangaike na mizimu ya Jf


Ukishaona hivyo, ujuwe hapo mtaani vijana na watu wanajuwa tabia yake na ndiyo maana anakuja hapa kutafuta wanaume wasiomjuwa na kuwaingiza mkenge. Atapata wa ukweli na wa kiuongo ili tu waonje kitumbua. Mwanaume wa ukweli hapatikana mtandaoni kupitia avatar ama majigambo ya Ze Comedy.
 
Ukishaona hivyo, ujuwe hapo mtaani vijana na watu wanajuwa tabia yake na ndiyo maana anakuja hapa kutafuta wanaume wasiomjuwa na kuwaingiza mkenge. Atapata wa ukweli na wa kiuongo ili tu waonje kitumbua. Mwanaume wa ukweli hapatikana mtandaoni kupitia avatar ama majigambo ya Ze Comedy.

Nashukuru Mkuu kwa kuliona hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom