Ni PM mi nataka kuoa kweli
Mimi ni muislam mwenye msimamo mkali, kama upo tayari tuanze safari.
hapo kwenye dini, cjui, maana unaonesha we mbaguzi. Hata tamaa nishakata. Ucbague mtu, maana mtu mweuc alikuwa na dini yake, tuctengane kwa dini.nimeweka email address kwenye thread, nitatoa namba later kwa ambaye tutakubaliana. So mean time tuwasiliane kwa email hiyo.
Umuombe sana mungu . swala swalatu hajjah
Tena mida tulivu
Mtaani kwenu kote hujaona wakukufaa mpaka uje uhangaike na mizimu ya Jf
Ukishaona hivyo, ujuwe hapo mtaani vijana na watu wanajuwa tabia yake na ndiyo maana anakuja hapa kutafuta wanaume wasiomjuwa na kuwaingiza mkenge. Atapata wa ukweli na wa kiuongo ili tu waonje kitumbua. Mwanaume wa ukweli hapatikana mtandaoni kupitia avatar ama majigambo ya Ze Comedy.