Umefanya vema kumuombea mwanamke mwenzio dada Grace,Gabriela,Gradness, nk!kila laheri sukula Mungu akutangulie ktk ombi lako lol.
Sisi wenye sifa unazozitaja lakini bahati mbaya tukawa Walutheri ndo imekula kwetu? Sikujua Yesu wa kikatoliki siyo yuleyule wa kilutheri. Ndo nimejua leo.Ubungo,kwa upande wa dini awe mkristo wa katoliki.
vipi na ya mwanaume kwa mwanaume??Umefanya vema kumuombea mwanamke mwenzio dada Grace,Gabriela,Gradness, nk!
Siku zote maombi ya mwanamke kwa mwanamke mwenzie humfikia Mungu mojakwamoja!
25 to 45 almost twenty years difference. Umenitia moyo coz am almost 30 yrs old nikajihisi nimechelewa kuoa, kumbe hata nikifika 35 to 45 naweza kuhitajika/kuoa bint wa 20s. UMENITIA MOYO.
ALL THE BEST. HOPE UTAMPATA NA ATAKUPENDA NA MTAJENGA FAMILIA BORA WITH BEAUTIFUL KIDS.
Sisi wenye sifa unazozitaja lakini bahati mbaya tukawa Walutheri ndo imekula kwetu? Sikujua Yesu wa kikatoliki siyo yuleyule wa kilutheri. Ndo nimejua leo.
mkuu hiyo age aliyotaja kwa mawazo yake anaona ndio wametulia anahamini wakiwa kwenye ndoa ndo atakuwa mtulivi under 35 watakuwa wamemjerui sana moyo.wenye umri mdogo tutakoma wadogo wenzetu awatutaki ngojea nitafute mshuga mamy
Sisi wenye sifa unazozitaja lakini bahati mbaya tukawa Walutheri ndo imekula kwetu? Sikujua Yesu wa kikatoliki siyo yuleyule wa kilutheri. Ndo nimejua leo.