Kwa hiyo unataka kusema zaidi ya hapo mashine inahitaji ukarabati mkubwa
We dini gani kwaniNipo hapa,tatizo dini
IslamHaahaa
We dini gani kwani
miaka 30 bado unajiita msichana???wewe ni mwanamke,tena wengine wa umri huo tayari washakuwa wajane...Mimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu.
Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30.
Mwenye nia ya dhati aniPM.
Ni Msichana maana kautunza usichana wake(Bikra) hadi umri huo wa 30 hongera zake apate bikra wa kiume pia...!miaka 30 bado unajiita msichana???wewe ni mwanamke,tena wengine wa umri huo tayari washakuwa wajane...
kakwambia wapi kuwa yeye ni bikira?Ni Msichana maana kautunza usichana wake(Bikra) hadi umri huo wa 30 hongera zake apate bikra wa kiume pia...!
Hivi mzee bado hujapata bibi yetu tuNipo hapa nina miaka 57 yrs
Miaka 30 bado ni msichana...........
helloMimi ni msichana umri miaka 30, nipo hapa kutafuta partner atakayekuwa tayari kuwa mume wangu.
Awe mkarimu, mwenye hofu na Mungu, Mkristo, awe na miaka isiyopungua 30.
Mwenye nia ya dhati aniPM.