Natafuta mwanaume mwenye malengo ya ndoa

Kweli iliandikwa kuwa utafika wakati watakuja na kusema, ...tunaomba japo tuitwe kwa jina lako.....endelea kuweka masharti magumu tu.

wimbo: Msichana wa sura aaa nzuriiii....kitu gani kinakufanya usiolewe....elimu unayo ya kutosha hata ng'ambo ukaenda ukarudi..oooo dada....usiweke maringo kwa vijana....ona wadada wa nyuma yako...wameolewa wamekuacha ukibabaika....:D:D
 
Kama unajali na una heshima hizi ni sifa ambazo wewe kama wewe huwezi kujijua mpaka watu wanaokuzunguka wakupe na mi vigezo vya umri tu ndio hutanipata
 
22 yrs unaitaka ndoa. Still young. Ungefikisha hata 25 ndio uanze mchakato. Watu wanalia kila siku humu..huwaoni? Kila la kheri..utampata!
We mwache tu hawa hawaelewi hata maana ya ndoa ukimuuliza hapo atakuambia ni kumpa tendo aridhike
 
Mimi na extreme used wapi na wapi??
Kwahiyo unatafuta nini hapa? Unataka BWANA? Mabazazi washakuona sasa hopefully umefurahi. Umetoka kule umekuja huku kuharibu uzi wa watu huku. AM DONE WITH YOU.
 
mi navyojua mume unayemtafuta tayari yupo kwenye ndoa na ndio maana akaitwa mume,sasa wewe unatafuta mme au unataka kuiba mume wa mtu??
 
Hivi siku hizi mume/mke bora tunajitafutia wenyewe hatoki tena kwa bwana?
 
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM


Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo

Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Mie niko hapa nimetimiza vigezo atleast vyoote ila sharti namba tatu ni gumu..... ila siyo mbaya sana maana nini sifa zingine lukuki ambazo hujaziweka mimi ninazo..... baadhi tuu hizo
-Niko vizuri kichwani
-Najua kupenda
-Ni mvumilivu
-Mcheshi
.
.
.
.
.
Na zingine nyingi nzuri
 
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM


Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo

Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
mie vigezo vyote ninavyo tatizo na pesa nyingi paka natamani jiteka
 
Kwahiyo unatafuta nini hapa? Unataka BWANA? Mabazazi washakuona sasa hopefully umefurahi. Umetoka kule umekuja huku kuharibu uzi wa watu huku. AM DONE WITH YOU.
Kinyago cha mpapure mwenzio anataka kuolewa wewe kinyamkera unamshauri utumbo eti akaekae wewe ilisha chezea ujana wako ngoja matako yalie mbata..
 
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM


Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo

Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
kama uko mwanza naomba tuonane, ingawa nina miaka 26 lakini mezani hapashindwi kitu.
NB: Sifa zote ninazo ikiwa ya kuajiriwa lakini baadhi ya mambo itabidi tuwe live ili tuanza mchakato.
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom