Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,272
- 18,334
Hahaaaa bro hilo sio tatizo ni kwamba wewe haujaamua kubadilisha dini ili ung'oe mzigo fastaaaTatizo mimi ni Muislam, katika vyote ulivyotaja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa bro hilo sio tatizo ni kwamba wewe haujaamua kubadilisha dini ili ung'oe mzigo fastaaaTatizo mimi ni Muislam, katika vyote ulivyotaja
Brother umenivunja mbavu leoMatumaini yameshapotea ndugu yangu....hatuna budi kuupigania urefu kwa kila hali ili tuendane sawa na uhitaji wa soko la mahaba la wakati huu.....
We mwache tu hawa hawaelewi hata maana ya ndoa ukimuuliza hapo atakuambia ni kumpa tendo aridhike22 yrs unaitaka ndoa. Still young. Ungefikisha hata 25 ndio uanze mchakato. Watu wanalia kila siku humu..huwaoni? Kila la kheri..utampata!
Kwahiyo unatafuta nini hapa? Unataka BWANA? Mabazazi washakuona sasa hopefully umefurahi. Umetoka kule umekuja huku kuharibu uzi wa watu huku. AM DONE WITH YOU.Mimi na extreme used wapi na wapi??
HahhaaPambafuuu....hii avatar yako imenifanya nijione mjinga baada ya kufuta screen ya simu mara kadhaa na kujiuliza ni kwa nini huyu mdudu hatoki.
Mie niko hapa nimetimiza vigezo atleast vyoote ila sharti namba tatu ni gumu..... ila siyo mbaya sana maana nini sifa zingine lukuki ambazo hujaziweka mimi ninazo..... baadhi tuu hizoSifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Hapa ndipo wanakokoseagaUnatafuta future na mwenye kazi. Ungeanza na asiye na kazi kama wewe kwanza.
mie vigezo vyote ninavyo tatizo na pesa nyingi paka natamani jitekaSifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Kinyago cha mpapure mwenzio anataka kuolewa wewe kinyamkera unamshauri utumbo eti akaekae wewe ilisha chezea ujana wako ngoja matako yalie mbata..Kwahiyo unatafuta nini hapa? Unataka BWANA? Mabazazi washakuona sasa hopefully umefurahi. Umetoka kule umekuja huku kuharibu uzi wa watu huku. AM DONE WITH YOU.
kama uko mwanza naomba tuonane, ingawa nina miaka 26 lakini mezani hapashindwi kitu.Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na Mcha Mungu, Mkristo, Nina Akili Ya Maisha, Ni Muelewa na Nipo makini sana hasa kwenye mambo ya maendeleo, ninajali na nina heshima, nimefunzwa vizur kwetu, mengine tutafahamiana PM
Sifa Za Anaetakiwa
1.Miaka 28 na kuendelea
2.Awe Mkristo
3.Asiwe Mweusi Wala Mfupi
4.Awe na kazi maalumu ya kueleweka inayomuingizia kipato
5.Usiwe Mkurya wala Mjita
6.Usiwe Mme Wa Mtu (I want a free man to build future with)
7.Awe Muelewa, Mpole na anaejielewa anahitaji nini katika maisha.
8.Ukiwa na mtoto sio tatizo
Kama ni kwel upo serious na una hitaji mke ili muyajenge maisha pamoja, na unakidhi sifa hizo hapo juu, ni PM tufahamiane zaidi.... Mbarikiwe.
Jion njema.
Shikamooo mkuuu. Umemfunua rangi zake mtoa hoja.Ulianza na huu uzi ukitafta marafiki.
Natafuta Mme Mtu Mzima
Ukaja na huu hapa
Natafuta Marafiki
Mm naomba niwe rafiki yako tu. Km utapenda njoo PM
Na hzo baadhi tu ya mada zake za hv karibuni. Ukitafta xana unaweza kukuta zipo nyngShikamooo mkuuu. Umemfunua rangi zake mtoa hoja.