Amen, Asantepole mdada Mungu akupe sawa n.a. haja ya moyo wako
Sikujua Kuna watu wenye kufuru hivi, mkuu kua makini na misemo yako unaweza ufe umtangulie wote ni safari moja, Kuna wanaolala hawaamki, Kuna ajali Kuna magonjwa, pia kwanza umepima,? angalia usije ukaupata hata ndani ya ndoa hujafa hujaumbikaMimi natoa hela jeneza , sanda na funeral van ya usafiri...
AmenUfanikiwe dada HIV+ utualike harusini
Asantepole mdada Mungu akupe sawa n.a. haja ya moyo wako
ImesomwaKwa wale wenye ujenz Mr aluminium glass npo pamoja na nyie kwa ujenz bora wa madirsha, milango na partition piga sim no +255 654 069 041 WhatsApp no hiyo au +255 744 722 526
Hello, ninatafuta wenye HIV, kwa sababu sitaki kulaumiwa kwa kumwambukiza m2,Sina ubaguzi najali Maisha ya watu[/QUOT
speechless yaani nikoo ila Mungu akuongoze upate mume bora
Mungu akubarikiNaona kila dalili za kupata mwenzi wako
Usisahau kuja kuomba mchango wa harusi ukishampata mwenzi wako
Sitaki tujuane chakufanya wewe ni kuweka namba ya simu hapa hakika nitakutumia mchango wangu wa harusi yako
Mwenyezi Mungu akupe haja ya moyo wako
sio vizur kutoa kauli za kejeli kumbukeni hakuna anaeomba matatizo mjue DahhhhUfanikiwe dada HIV+ utualike harusini
Hakuna binadamu alie saini mkataba na Mungu kuwa yeye ataishi Milelee sio vzuri na naomba ukumbuke katika hii dunia hakuna alieumbwa special kwa matatizo tatzo htokea mda wwteMimi natoa hela jeneza , sanda na funeral van ya usafiri...
Okay asanteniko singida just call me 0742 56 88 39
Asante kwa kumkumbusha, maneno ya hekma ubarikiweHakuna binadamu alie saini mkataba na Mungu kuwa yeye ataishi Milelee sio vzuri na naomba ukumbuke katika hii dunia hakuna alieumbwa special kwa matatizo tatzo htokea mda wwte
sijapenda kauli hii hata kidogo ukiona ww unaishi maisha ya furaha Mshukuru Mungu Lakini furaha ykoo isiwee kero kwa watu
Binadamu tunajisahau sana dahh hivii hatujui dunia haina mwnye nayooo???