glorianganga
Member
- Oct 5, 2015
- 62
- 42
- Thread starter
- #21
Your heartlessMama wala usibague we jichukulie yeyote aliyepo jirani yako maana wanaume wote ni positive
Your heartlessMama wala usibague we jichukulie yeyote aliyepo jirani yako maana wanaume wote ni positive
Ni wachache sana wako open kama wewe. Mungu akupeujasiri kwa maamuzi uliyochukuaHi guys, natafuta mume awe HIV+
Umri kati ya 30-35,awe anafanya kazi,na awe serious na maisha binafsi mm nina umri wa miaka 27, ni H I V + ni mwajiriwa wa serikali nipo Kilimanjaro,kwa m2 alie tayari na vigezo hivyo njoo pm au tumia email glorianganga3@gmail
AmenNi wachache sana wako open kama wewe. Mungu akupeujasiri kwa maamuzi uliyochukua
Haya nduguKila la kheri Dada yangu,usitusahau kwenye harusi yako tu.
OkayNiko series glorianganga tumia namba hii kwa Whatssapp,na taraji sunday itarudi Mbeya Kazini likizo imeisha.
Unauhakika wa kuishi milele?Mimi natoa hela jeneza , sanda na funeral van ya usafiri...
Mama wala usibague we jichukulie yeyote aliyepo jirani yako maana wanaume wote ni positive
Asante nimeiona comment yakoHongera kwa kujitambua na kukubali hali uliyonayo. Sifa zote ninazo
NITAFUTE PM
Mimi natoa hela jeneza , sanda na funeral van ya usafiri...
KARIBU!Asante nimeiona comment yako
Unauhakika wa kuishi milele?
watu wanakufa daily kwa malaria, ajali, homa wanawaachahao + jeneza andaa tu waweza tangulia wewe ukalitumia mkuu kifo hakina huruma( in remy ongala voice)
Msamehe bure dada yangu, watu kama hao ndo wenye kufanya dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi, maisha yangebore sana endapo wote tungekuwa na mawazo yenye kufanana.watu wanakufa daily kwa malaria, ajali, homa wanawaachahao + jeneza andaa tu waweza tangulia wewe ukalitumia mkuu kifo hakina huruma( in remy ongala voice)