Natafuta mume awe muislam na anayetokea Tanga

Umenipata nina killa sifa njema nina nyumba,kampuni mbili na mpka sasa sina mwenza njoo tujwnge familia
 
Me ni Muislamu, nina miaka 36 na sijaoa, nina kampuni binafsi, sema natokea tarime mara, kama uko sawa no pm, pia Nina watoto watatu,
 
Weka kapicha kako kachangie kupandisha mzuka na kuongeza wigo wa wanaokuzengea
 
Una maini? Eti "Muislamu" eti "Watanga" huu ubaguzi nani anawapa nyie vijana…!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom