Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Mie nimepangwa Tandahimba, naomba tubadilishane nisogee karibu na mchuchu manake yeye kapangwa Makongolosi
hacha uongo we si ni askari police? Umekuaje mwalimu..?
Mie nimepangwa Tandahimba, naomba tubadilishane nisogee karibu na mchuchu manake yeye kapangwa Makongolosi
[h=6]jamani ee,nimepangwa kituo cha kazi ya ualimu ileje mbea,afu mie spataki,kama kuna anaedhani anaweza akafanya kazi kule tubadilishane basi wandugu.[/h]
Kwa nini hutaki huko Ileje? nakushauri uende tu kwa sababu maisha ni popote. Kikubwa unachotakiwa kikufanya ni kwanza kutochukia mazingira na ukifanikiwa katika hilo utaziona opportuniyies kibao. Kuna watu ambao zamani walikuwa wakikataa kuhamishiwa mikoa ya kusini, baadhi walikubali kwenda. Hivi leo, waler waliokwenda wameji-establish huko kiasi kuwa hawana kabisa wazo la kuhamia sehemu nyingine
Kanuni na taratibu za ajira zinaelekeza kuwa unaweza kufanya kazi eneo lolote Tanzania. Hiyo tabia ya kupenda kukaa mijini tu haifai, kuwa tayari kuishi mazingira yoyote yale, ili siku ukiwa Mwakilishi wa Jimbo lako ukae kijijini kwenu.
Mkuu vp tena,mbona unataka kukimbia,njooooo bana,karibun kigoma vijijini,mambo safi
tatizo ni swala la wazazi,manake wanahitaji uangalizi wangu,so naangalia eneo la karibu na mwanza
mi sijapangwa kabisa kama vipi nigee hiyo nafasi wewe uendelee kusubiri ajira zingine!!
Kuna watu wanafanya kosa la kuchukia sehemu kwa kuona jina tu, au kusikia kwa watu.. mimi nadhani huyu bwana/bibi aende tu akapaone kama hapajui.. , kaa muda kidogo then utajua kama mbivu au mbichi .. mimi nilisema wala sitakwenda kufanya kazi Mtwara, nilikuja kwenda nikaona mbona pazuri tu.. Maisha popote jamani
we ni she au he? Kuna mtu kapangwa magu utakupenda?
mm nimepangiwa Kisimiri huku karibu na olkokola!
mm nimepangiwa Kisimiri huku karibu na olkokola!
Mie nimepangwa Tandahimba, naomba tubadilishane nisogee karibu na mchuchu manake yeye kapangwa Makongolosi
Iko nafasi ya Tarime!anayetaka fasta!tubadilishane!
[h=6]jamani ee,nimepangwa kituo cha kazi ya ualimu ileje mbea,afu mie spataki,kama kuna anaedhani anaweza akafanya kazi kule tubadilishane basi wandugu.[/h]