Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
[h=6]jamani ee,nimepangwa kituo cha kazi ya ualimu ileje mbea,afu mie spataki,kama kuna anaedhani anaweza akafanya kazi kule tubadilishane basi wandugu.[/h]
Mie nimepangwa Tandahimba, naomba tubadilishane nisogee karibu na mchuchu manake yeye kapangwa Makongolosi
Kwa nini hutaki huko Ileje? nakushauri uende tu kwa sababu maisha ni popote. Kikubwa unachotakiwa kikufanya ni kwanza kutochukia mazingira na ukifanikiwa katika hilo utaziona opportuniyies kibao. Kuna watu ambao zamani walikuwa wakikataa kuhamishiwa mikoa ya kusini, baadhi walikubali kwenda. Hivi leo, waler waliokwenda wameji-establish huko kiasi kuwa hawana kabisa wazo la kuhamia sehemu nyinginejamani ee,nimepangwa kituo cha kazi ya ualimu ileje mbea,afu mie spataki,kama kuna anaedhani anaweza akafanya kazi kule tubadilishane basi wandugu.
Nimepangwa Kigoma kama upo tayari niPm mkuu
[h=6]jamani ee,nimepangwa kituo cha kazi ya ualimu ileje mbea,afu mie spataki,kama kuna anaedhani anaweza akafanya kazi kule tubadilishane basi wandugu.[/h]
Kama unakupenda same ni pm
Tubadilishane, njoo Rorya mi nije Ileje.
Kwa nini hutaki huko Ileje? nakushauri uende tu kwa sababu maisha ni popote. Kikubwa unachotakiwa kikufanya ni kwanza kutochukia mazingira na ukifanikiwa katika hilo utaziona opportuniyies kibao. Kuna watu ambao zamani walikuwa wakikataa kuhamishiwa mikoa ya kusini, baadhi walikubali kwenda. Hivi leo, waler waliokwenda wameji-establish huko kiasi kuwa hawana kabisa wazo la kuhamia sehemu nyingine
mm nimepangiwa Kisimiri huku karibu na olkokola!
Nimepangwa Kigoma kama upo tayari niPm mkuu
Hutaki Ileje au mkoa wa Mbeya kwa ujumla?
mkuu tandahmba ni noma? Watoto wanaongea kimakonde darasan mimi nlkuwa huko ktk field ya mwaka wa kwanza, ntajie shule ulyopangiwa kwa pm nkupe mazngra yake
kwa mkoa wa mara hapana ndugu yangu make huko nasikia hata ukigongwa na baiskeli wewe ndo wa kuomba msamaha vinginevyo ni mapanga,naogopa kufa kabla sijaanza kazi
kwa mkoa wa mara hapana ndugu yangu make huko nasikia hata ukigongwa na baiskeli wewe ndo wa kuomba msamaha vinginevyo ni mapanga,naogopa kufa kabla sijaanza kazi