Nina eneo kubwa zaidi ya nusu heka hapa Upanga Dar - Es - Salaam,eneo ni zuri kwa ajiri ya kitega uchumi , kama apartment n.k , eneo lipo kiharali na kila nyaraka muhimu ipo. eneo limezungushiwa ukuta na ndani lina nyumba moja.ni karibu na mjini na linafikika kwa urahisi. kwa aliyetayari tuwasiliane 0657 145555, thomasnelson564@yahoo.com