Natafuta msichana wa kuoa

Thifor

Member
Mar 10, 2015
19
1
Nimekua nikipata wasichana walaghai mara zote,hali ambayo ilinifanya kuwachukia wote. Ila sas nataka msichana ambae anadhamira kama yangu aache namba yake ya simu nami yakutafuteni,sichagui chochote ili mradi uwe una sura ya mvuto tu
 
hahahahaaa nenda sokoni katangaze au kanisani kwa Lwakatare Wanawake wanaombewaga wapate wa kuwaoa
 
Nimekua nikipata wasichana walaghai mara zote,hali ambayo ilinifanya kuwachukia wote. Ila sas nataka msichana ambae anadhamira kama yangu aache namba yake ya simu nami yakutafuteni,sichagui chochote ili mradi uwe una sura ya mvuto tu

Huwezi kupata mwanamke mwenye dhamira kama yako....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom