Natafuta msichana wa kuoa ili niachane na maisha ya ukapera

da kumbe nahumu warembo mnakoma na swaga zangu
kama vipi mi ndo kivile na search search
maisha mukide si unajua miisho ya mwaka show za kufikia
new year nlikuwepo na kachaa wangu ngwea shoo la kufariki mtu
ndo maana kivile nini sijatimba jf
kumbe ulikuwepo unanideki kiaina ee
unaweza uka halaaa nini na ma pm mbona shwanga tu

mmmmhh DJ of coz tunapenda swaga zako...
Hopefully mwaka huu wa 2011 uta archive kila uachokifuatilia...
hahahah lol mi nlikuwa na kucheck tu ....
mmmhhhh
 
mmmmhh DJ of coz tunapenda swaga zako...
Hopefully mwaka huu wa 2011 uta archive kila uachokifuatilia...
hahahah lol mi nlikuwa na kucheck tu ....
mmmhhhh

lengo la kwanza kusimamisha lebo yangu
la pili nisambaze kazi za wasanii wa kibongo wahindi wanatuua
la tatu..........mtu wa kuambatana kuelekea on top of my world, interested?
 
lengo la kwanza kusimamisha lebo yangu
la pili nisambaze kazi za wasanii wa kibongo wahindi wanatuua
la tatu..........mtu wa kuambatana kuelekea on top of my world, interested?

mmmhhh sounds like u have got every thing planned well...
all the best..
na maisha yakianza kukulemea kingia tu JF tuko hapa kuktuliza hahaha lol
mmmhh hapo kwenye red mhh hayo mambo ya chumbani DJ....
nikianza hapa hapa halafu hhahhahahaha lol
 
mmmhhh sounds like u have got every thing planned well...
all the best..
na maisha yakianza kukulemea kingia tu JF tuko hapa kuktuliza hahaha lol
mmmhh hapo kwenye red mhh hayo mambo ya chumbani DJ....
nikianza hapa hapa halafu hhahhahahaha lol

hivi kwanini nikiangalia avatar yako nabatasamu?
maisha kunielemea haiwezekani,si ndani ya aka kumi kuanzia sasa
kama bado utakuwepo jf haina shanapa
 
hivi kwanini nikiangalia avatar yako nabatasamu?
maisha kunielemea haiwezekani,si ndani ya aka kumi kuanzia sasa
kama bado utakuwepo jf haina shanapa

mmmmhh DJ hapo kwenye red jibu walijua weye...
mmmhh mi ntakuwepo hapa hapa siwezi kimbia JF...
halafu MMU ntamwachia nani hahahahahha lol
ndo mahali napenda kuja ku relax huku lol....
hahahahah lol
sanasana labda nichukue holiday tu...
 
mmmmhh DJ hapo kwenye red jibu walijua weye...
mmmhh mi ntakuwepo hapa hapa siwezi kimbia JF...
halafu MMU ntamwachia nani hahahahahha lol
ndo mahali napenda kuja ku relax huku lol....
hahahahah lol
sanasana labda nichukue holiday tu...

sasa kama vipi j mosi ntakuwa bills kama vipi ibuka basi
 
Kiongozi,
Nakushukuru sana kwa maswali yako hapo juu. Kiukweli sababu sio kuuga ukapera bali kiukweli nimekubali yale yote yanahusiana ma responsibility ya mwanaume katika ndoa mimi nipo tayari kufanya au kuyatekeleza. Ndio maana nilisema mwanamke ambaye atajua wajibu wake kama MKE, coz mimi natambua kama mwanaume responsibility yangu ni ipi huku nikizingatia kuwa mfumo dume kwa maisha ya sasa hauna nafasi sana katika kujenga familia bora. Kifupi naomba utambue kuwa nipo tayari kama mume na nitafanya yale yote ambayo nitatakiwa nifanye kwa mke au jamii ituunganishayo kama wanafamilia/socialization within two families and taking part into it as I can ! Lakini hata umri wangu nao umenisukuma na kutambua kuwa kwa sasa ni vema tukawa wawili ili tuweze saidiana vema kimaisha katika kujenga familia iliyo bora. Asante.

Nakutakia mafanikio mema!
Hao ni wengi sana...ungeweka namba ya simu au e-mail adress..ai FB a/c. Wakutafute vzuri.
 
Huyu jamaa yuko serious. wanaokuzdi umri hutaki? maana wengine tuna umri mkubwa na ndoa tunahitaji. Unasemaje kwa hilo?

Kwanza nikushukuru kwa maoni yako, na pili kuhusu hilo suala la umri mie nimeweka 18 to 30 nikiwa naamini wazi kuwa kama kutakuwa na mtu wa zaidi ya miaka hiyo na atakuwa interested basi anaweza toa special request ili tuongee kuona difference ya kati ya umri wangu (32 yrs) na umri wake . ndio maana nimeweka hapa JF ili kutoa uwanja mpana zaidi hasa kwa yule ambaye atakuwa na nia thabiti kama yangu. In otherwords, I welcome you so as we may discuss it privately and see if we can move on! JUST -PM me !
 
picha yako itapatikanaje? unaishi mji gani? aliyesoma kukuzidi poa?

Kuhusu picha yangu hilo wala sio tatizo ila tu, ndio maana nimesema aliyekuwa interested ani-pm and we may talk more privately. Kuhusu elimu kwangu sio tatizo ndio maana nimesema kuanzia elimu ya kidato cha nne(form 4) hadi Masters degree or Phd if possible all are warmly WELCOME! Naamini nimekujibu vema swali lako mkuu.
 
Wanaume mkiamua kuja na gia za ndoa kwa madai kuwa wadada tunapenda ndoa.
 
MAELEZO YAKO MAZURI NADHANI UTAPATA ACC TO UR DESIRE AND WISH,USIJALI NGOJA NIKUWEKE KWENYE MAOMBI KAMA NTAONGOZWA NTAKU PM:pray2:
 
Hivi kadri siku zinavyokwenda Rev Masanilo anaweza kuwa anafungisha ndoa "online"!

Inawezekana kijana ana elimu ya Chuo Kikuu halafu anapata taabu kupata mchumba? For sure it does not click!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom