Ngoswe11
Member
- Nov 19, 2010
- 87
- 24
Wapendwa wadada wa JF,
Kwa heshima na taadhima naomba kuwafahamisha kuwa mimi natafuta msichana ambaye na yeye anatafuta mwanaume ili kuweza kufunga ndoa na kuachana na maisha ya Ukapera. Kumpata mwenza wa kuishi nae ni jambo gumu sana lakini yote huongozwa na mungu. Nimeona nijitokeze hapa JF huenda mungu akanisaidia kumpata mwanamke ambaye huenda mungu akatujalia na kuwa mwili mmoja na hatimaye kujenga familia yenye furaha, amani na upendo.
Mimi nina miaka 32, sijawahi oa coz muda mwingi nilikuwa nahangaika na maisha pamoja na kujipatia elimu ambayo ni msingi bora katika dunia ya leo. Nina elimu ya juu ya chuo kikuu-ndani +nje ya Tanzania, mwajiriwa, dini-mkristo-Rc, kabila -Mtanzania, urefu-168 cm, sio mnene wala sio mwembamba. Natumia kilevi - bia 1 au 2 kupunguza mawazo ya upweke coz am single.
Sifa za mwanamke: Ningependa nimpate mwanamke mwenye sifa zifuatazo: Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 30. Haijalishi-awe mnene au mwembamba poa tu, awe serious kama kweli ana nia ya kuolewa, elimu aanzie kidato cha NNE(FORM 4) hadi masters degree hakuna shida or Phd if possible, sina ubaguzi wa dini coz linajadilika, na pia sina ubaguzi na ukabila ila ni vema awe tu MTANZANIA. Tabia njema ni silaha hivyo ningefurahi kumpata mwanamke ambaye atajua nafasi yake kama MKE.
Kama kuna mwanamke/msichana ambaye anadhani tunaweza kumake life pamoja naomba Ani-PM na hata kama unataka tufahamiane zaidi kabla ya kufanya maamuzi yako pia unaweza ukani-PM! AM MORE THAN SERIOUS, NA WANAWAKE/WASICHANA MNAKARIBISHWA! Thanking you in advance!
Kwa heshima na taadhima naomba kuwafahamisha kuwa mimi natafuta msichana ambaye na yeye anatafuta mwanaume ili kuweza kufunga ndoa na kuachana na maisha ya Ukapera. Kumpata mwenza wa kuishi nae ni jambo gumu sana lakini yote huongozwa na mungu. Nimeona nijitokeze hapa JF huenda mungu akanisaidia kumpata mwanamke ambaye huenda mungu akatujalia na kuwa mwili mmoja na hatimaye kujenga familia yenye furaha, amani na upendo.
Mimi nina miaka 32, sijawahi oa coz muda mwingi nilikuwa nahangaika na maisha pamoja na kujipatia elimu ambayo ni msingi bora katika dunia ya leo. Nina elimu ya juu ya chuo kikuu-ndani +nje ya Tanzania, mwajiriwa, dini-mkristo-Rc, kabila -Mtanzania, urefu-168 cm, sio mnene wala sio mwembamba. Natumia kilevi - bia 1 au 2 kupunguza mawazo ya upweke coz am single.
Sifa za mwanamke: Ningependa nimpate mwanamke mwenye sifa zifuatazo: Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 30. Haijalishi-awe mnene au mwembamba poa tu, awe serious kama kweli ana nia ya kuolewa, elimu aanzie kidato cha NNE(FORM 4) hadi masters degree hakuna shida or Phd if possible, sina ubaguzi wa dini coz linajadilika, na pia sina ubaguzi na ukabila ila ni vema awe tu MTANZANIA. Tabia njema ni silaha hivyo ningefurahi kumpata mwanamke ambaye atajua nafasi yake kama MKE.
Kama kuna mwanamke/msichana ambaye anadhani tunaweza kumake life pamoja naomba Ani-PM na hata kama unataka tufahamiane zaidi kabla ya kufanya maamuzi yako pia unaweza ukani-PM! AM MORE THAN SERIOUS, NA WANAWAKE/WASICHANA MNAKARIBISHWA! Thanking you in advance!