Natafuta msichana aliye serious

ngulangwa

Member
Sep 18, 2012
18
1
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo:

1. awe muislam
2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi
3. Mwenye degree,diploma au form six
4. Mwenye kujiheshimu na aliyetulia
5. Niko Dar hivo ajue ndipo maskani
6. aliyetayari atume picha kwenye email sngulangwa@yahoo.com
7.mimi mrefu mwembamba maji ya kunde.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom