DJ BABU
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 209
- 0
i singo ya ngap?
Nzurii jaman!!
oyaa icecube wa moyo mungu inakuwaje?
Alafu nishakuambiaga wewe ma chemistry yetu yanaendana basi tu unielewi
i singo ya ngap?
Nzurii jaman!!
nenda st joseph apo fasta ukatubu kabla sjakusemea kwa sar god!!!!
bwa mdogo anahitaji msaada wajameni..ok ngoja nimwambie asikutafte kabsaaaa!
ah ah ah uwiiii huu wimbo umenikumbusha mbali sanaaaaaaaaaaaaa,mkono mmoja unaweka kwapani eeeh?
elia acha uchokozi...NISHAPANUA WE BADO?:alien::alien::alien::alien::wink2:!!!!
mpenzi hatafutwi. hebu geuka nyuma na pembeni angalia wanaokuzunguka utawaona uwapendao na wakupendao kisha muombe Mungu akusaidie kuchagua mmoja sio kuja huku amabako hata sie tuliopo hutujui
dolidoli chaaaliaaaaaaaaaa....mabata madogo dogooooo yanaogeleaaaaaaaaaaaa yanaogeleaaa katika shamba zuuuuuri la bustaniiiiiiiii....yanapendaaaaaaaa ku.......!!!!!
LD acha utani mi bado sijatangaza nia...nikitangaza wewe utakuwa wa kwanza kupata application yangu kabla ya kuileta hapa JF.
he he hee,halafu unacheza kama ile syle ya ngwasuma kunguru hafugiki:music:naaaaam!
na kamguu kakushoto unakakenyua kwa juu kidogo!!!!!:music:!!!!!
dah!!jamaa si alikuwa ana tafutaa kamaa atapata mwambieni....duh
mabata madogo dogooooo yanaogeleaaaaaaaaaaaa yanaogeleaaa katika shamba zuuuuuri la bustaniiiiiiiii....yanapendaaaaaaaa ku.......!!!!!
dalili ya mvua ni mawingu, nahisi hapa hapati,
labda aende jukwaa lingine.
naitwa kenedy natafuta mpenz awe mweupe au maji ya kunde.miaka 18-23.ntampenda kwa dhati.thanks
unahisi ni kwanini hatopata?
si unaona mwenyewe, wanavomwimbia nyimbo za kitoto.
Ina maana huku wote ni above 23.
angalia kijana humu sio kwa kutafutia wachumba..........................nenda uwanja wa f..si najua una njaaa 2 we bwamdogo ila sio kweli ka una nia ya dhati na huyo mchumbanaitwa kenedy natafuta mpenz awe mweupe au maji ya kunde.miaka 18-23.ntampenda kwa dhati.thanks
ikitokea ukawa NJE YA vyumba viwili tofauti
chumba kimoja ukasikia nyimbo za mabata madogo
na chumba cha pili kukawa kimya
halafu ukaulizwa chumba kipi kina teenagers
je utajibu vipi? Unachosikia nyimbo za mabata au kile kilicho kimya
NEVER OVERLOOK THE POWER OF SIMPLICITY