Ibrashinto
Senior Member
- Jul 3, 2012
- 123
- 6
- Thread starter
- #41
kwanini usisome na kuelimika , ni nani atakubali mtoto wake aanze mapenzi na miaka 15? Ww unastahili ban
mm sina muda wa kukuripotiwako watakaofuatia watakuripoti, kumbe mnaanzaga bado mkiwa balehe?
Ila tukana ndio utaijua jf
muheshimiwa sijasema miaka 15 awe mpenzi wangu mbona mme ng'ang'ana kwenye mapenzi jamani???????? Mimi nimerequest mpenzi na rafiki! Rafiki ndiye anatakiwa kuanzia miaka 15 na kuendelea na sharti ni lazima tuwe marafiki kwa kipindi zaidi ya miaka 5 apo anakuwa tayari yupo above 18 na tunakuwa tumetambuana kitabia vizuri ndipo anaweza kuwa mpenzi wangu kama atakubaliana na mimi
kwa kutafuta mpenzi lazima awe amefikia umri wa kuwa na mpenzi nadhani kila mtu anajitambua ili awe na mpenz anatakiwa awe na umri gani naomba ieleweke hivyo mkuu