Natafuta mpenzi na rafiki wakike wa kuchat nae

kwanini usisome na kuelimika , ni nani atakubali mtoto wake aanze mapenzi na miaka 15? Ww unastahili ban
mm sina muda wa kukuripoti
report-40b.png
wako watakaofuatia watakuripoti, kumbe mnaanzaga bado mkiwa balehe?
Ila tukana ndio utaijua jf


muheshimiwa sijasema miaka 15 awe mpenzi wangu mbona mme ng'ang'ana kwenye mapenzi jamani???????? Mimi nimerequest mpenzi na rafiki! Rafiki ndiye anatakiwa kuanzia miaka 15 na kuendelea na sharti ni lazima tuwe marafiki kwa kipindi zaidi ya miaka 5 apo anakuwa tayari yupo above 18 na tunakuwa tumetambuana kitabia vizuri ndipo anaweza kuwa mpenzi wangu kama atakubaliana na mimi
kwa kutafuta mpenzi lazima awe amefikia umri wa kuwa na mpenzi nadhani kila mtu anajitambua ili awe na mpenz anatakiwa awe na umri gani naomba ieleweke hivyo mkuu
 
mimi huwa sichezewi kipumbafu haswa ninapokuwa kwenye serious ishu! Nikikuheshimu nawe pia unatakiwa uniheshim lakini huwezi ukanivunjia heshima ukijidai eti uko sehem kama hii ntashndwa kukuvunjia heshima! Sifugi wapumbavu katika jamii nafuga welevu na wenye hekima!
Huwezi niambia MIMI MNYONYA DAM ESPECIALLY KATIKA SEHEM NINAYO IESHIMU KAMA HII!!! Hata ukiwa BUNGENI UKINIVUNJIA HESHIMA MIMI NITAIVUNJA MALA MBILI YAKE huwez niambia mim mnyonya dam nikaendelea kukuheshim PUMBAVU SANA!!! Siogopi wapumbavu naogopa WENYE BUSARA NA HEKIMA KTK JAMII! Asante saana MKUU
Hapo kwenye BOLD, hivi kwa mfano, ukiwa unaoga then akaja kichaa aliyevaa nguo akachukuwa nguo zako/taulo lako na akaanza kukimbilia mtaani, UTAMKIMBIZA MARA MBILI AU..???!!!
 
Wakati nina umri kama wako 20 nipo class nimezungukwa na UP,Ramsden,Pure I&II,Mzumbe Project,Truncer,Tom Duncan,Shayo yani nakata nyanga aka nakula muscle naitafuta Div I ya point 3 Daa wakati wewe unatafuta watoto wa miaka 15??? Aiseee Nyimamadogookumangaaaa!!
 
Hodi hodi humu! Jamani ninauza pipi, chocolate, bazoka, peremende, vileja, bisikuti, tende na vyote vitamu vitamu kwa bei ya promotion; tena leo bei rahisi zaidi. wote karibuni
 
Hodi hodi humu! Jamani ninauza pipi, chocolate, bazoka, peremende, vileja, bisikuti, tende na vyote vitamu vitamu kwa bei ya promotion; tena leo bei rahisi zaidi. wote karibuni. Vitu hivi vitakusaidia kurefresh akili, kusahau matusi, kupunguza hasira baada ya kujibiwa vibaya na Magreat thinkers.
 
Katika maisha yangu sijawahi kuona great thinkers wanawaza mapenzi mda wote na kuto kuekewa maada imemanisha nini MIMI SIJATAKA GIRL WA MIAKA 15 AWE MPENZI WANGU! Nimesema tunakuwa marafiki zaidi ya miaka 5 KUWENI WAELEWA I'M OUT i think facebook member wamehamia Jamii forum!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom