mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25 natafuta mpenzi wa kumuoa kwa baadae kama atakuwa na tabia nzuri kam upo tayari piga namba 0656179600 jua kuwa namaanisha. maana niliwahi kuandika lakini kuna watu wanatania so be serius
safi sana hapa kuna house girl we2 nae juzi kanambia nimsaidie kumtaftia mme maadam umefunguka nitajaribu kumpa namba yako ili muwasiliane ila yeye anayemhitaji awe na sifa zifuatazo ..elimu chuo kikuu 2.kazi gari ya kitmbelea mrefu na asiwe mweusi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.