Karibu sana moyoni mwangu,
Kabla ya yote nitajie mali zako zote ulizotoka nazo kijijini.
kuna sehemu kadhaa za kupata mpenzi/mke wa dhati... sewa baa buguruni au jolly klabu... sehemu mwanana sana hizi
usingesema wewe ni mgeni,utachunwa mpaka senti ya mwisho lol....sie wote wageni dar wenyeji wazaramo peke yao......utazoea tu jiamini.
Mmmmh umefika kwa watoto wa mujini, usiwe na shaka penzi utalipata!