umeona na hiyo Indian hair hapo kichwani........chezeya......
unasalio la kutosha manake hapa mujini msichana atadai les wig 200,000/= , make up Mac studio fix 70,000/= na pamba za ukweli, voucher na hela za matumizi ya hapa na pale asa can you afford these ? kajipange kwanza other wise utamaliza boom lako bure , hivi vitu bana vinakuja automatically vyenyewe tu vuta subra huenda ukapata ila uwe makini unaweza chunwa hadi boxer chezea watoto wa mujini ohhoo
Afu umwambie kabisa tutakuwa tumevaa gwanda !
Huku JF Mie ndo namiliki mabinti wote kama ulikuwa hujui.... sema unamtaka nani kati ya
1. ummu kulthum (mwembamba mrefu, mwandishi wa habari Nipashe)
2 Madame B (Mfupi mnene mweupe, Meneja wa vinywaji na chakula New Africa Hotel)
3. charminglady (Yuko form two B Jangwani secondary)
4. CUTE (Mwimba taarab wa TOT)
5. beibe nasty (Mchezaji, twiga stars)
6. Blue G (mwalimu wa nasare skuli)
7. Preta (Askari Magereza, gereza la Keko)
8. sweetlady (mwanakwaya St. Joseph)
9. Blaki Womani (afisa uhusiano CRDB bank)
Niendelee au utachaguamo mmoja kati ya hao?
Huyo atakuwa malaya aka muuzaji
Afisa uhusiano CRDB hachomoki!
Wifi hujambo?
hahahaha wifi unamambo mzima wewe ....... anayetafuta mwenyewe hajui anataka nini
We huogopi haya makitu?
Tabia mbaya...
Tabia mbaya...