Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Too late.......niko naye busy kwenye PM tayari...... Nshakwambiaga unoko hausaidii. Ishakula kwako mazima sasa!
Kinachofuata ni kuwafundisha wanawake roho ngumu tu. Jamaa akicheat once hamna msalie mtume unamrudisha kwao na mabegi kichwani