Kuna Jamaa Yangu Juzi Ameniambia Katika Simu Amekutana Na Mchumba Jambo Forum Lakini Kila Akitaka Kuonana Nae Basi Huyu Mwana Dada Huwa Anazima Simu Au Kubadili Namba Ya Simu
Kuna Jamaa Yangu Juzi Ameniambia Katika Simu Amekutana Na Mchumba Jambo Forum Lakini Kila Akitaka Kuonana Nae Basi Huyu Mwana Dada Huwa Anazima Simu Au Kubadili Namba Ya Simu
Na kila akibadili number ya simu jamaa yako anaipata number ya huyo mwanadada?
Is this janja ya Nyani ili tukutumie emails zetu halafu tunase mtego wa Usalama wa Taifa??
Napenda sana wanawake but huwa silagi junk food. Labda wakwre wasioona mbele ndio watakaokutafuta.....
Is this janja ya Nyani ili tukutumie emails zetu halafu tunase mtego wa Usalama wa Taifa??
Napenda sana wanawake but huwa silagi junk food. Labda wakwre wasioona mbele ndio watakaokutafuta.....
Mbona Status yako ni BANNED.
Mkuu Invisible hembu tueleweshe, maana ninavyojua kwa maana yake hurusiwi kabisa kuwepo humu ndani sasa unatafuta mchumba ili akuombee msaamaha ili urudi au,
Tusalimie Kigoma.
NG'WALU said:Re: Special Request!
kuna uwezo wa kuifungia pc yangu isiione JF page?
Kuna Jamaa Yangu Juzi Ameniambia Katika Simu Amekutana Na Mchumba Jambo Forum Lakini Kila Akitaka Kuonana Nae Basi Huyu Mwana Dada Huwa Anazima Simu Au Kubadili Namba Ya Simu
Huyo bibie asihofu, wengine we are trying to downsize. Sasa ninampa wangu. Ana sifa zote hizo ulizotaja ila bahati mbaya he does not look the look nor talk the talk. huyu hapa
wapendwa wana JF
mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28!
Napenda kuwasilisha ombi langu la kutafuta mme
sifa za ninaemtaka
awe na umri wa kuanzia miaka 25-na kuendelea!
elimu kuanzia masters na kupanda juu!
any one interested ani PM mengine tutafahamiana zaidi
Na kila akibadili number ya simu jamaa yako anaipata number ya huyo mwanadada?