Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
dunia hii kweli imekaa vibaya tunabashiana mchana kweupe!!!!
MwP, kubahashiana huko kunatofautiana vipi na kule kwa usiku... iwapo kuna mwanga wa taa (technology) wa kutosha ?!dunia hii kweli imekaa vibaya tunabashiana mchana kweupe!!!!
Huyu ananikumbusha kule kwa Michuzi yule binti wa kichagga Manka aliyekuwa naye anatafuta mchumba ila CV alizo mwaga anazijua yeye mwenyewe dah kama mchumba anatafutwa kwa kuangalia sifa ya elimu basi hakuna UPENDO hapo ila ni bussiness tu..
Mkuu fidel80, hilo la business tu nalikataa, kuna wengine wana nia njema na wana maanisha wakitangazacho.
Ukiachilia Manka, kuna list ya wengine kwenye link hii hapa waweza kucheck: https://www.jamiiforums.com/showpost.php?p=169529&postcount=4
SteveD.
Jamani naamini mme wangu atakuwa na sifa hizo!na wewe kama wataka mke una sifa zako unamtaka aweje.Hivyo as far as ure not the one unataka kujua kama nina tumakalio ili iweje?Huyu naona hatafuti mume...hivi kwanini hii kasumba ya PHD,Masters...waitoa wapi hawa wakina dada siku hizi...wat it all that....education gat to do with love?
Love is not about education...dada mwenye jina gumu.Kuna watu wanafanya mambo yao kuliko hao unao wataka....kama ni swala la master basi kuna watu wana master za mapenzi vile vile....u will never regret kama utakavyo amua kuolewa na master ya masomo na sio ya mapenzi ya kweli...kutoka kwa mungu...na kama wewe ni msukumu.
Nafikili una tatizo hawako hivyo...just comment from your name...kwani wewe umesoma na mweupe ili tukuvalue na wewe kwa style hiyo...je una tumakalio?
Kwani na sie twataka masters zetu za namna hiyo....uffsss
nitamfahamu tu mme wangu!naamini yupo hapa!im serious!nitaondoka muda si mrefu on line naacha tena my mail add nmasanja1@gmail.com
nitamfahamu tu mme wangu!naamini yupo hapa!im serious!nitaondoka muda si mrefu on line naacha tena my mail add nmasanja1@gmail.com
sasa SteveD unapo mtafuta mchumba lazima kuwe na kigezo cha masters?
that is what i beliave!and what makes you scared!
as you know mme mwema anatoka kwa BWANA MUNGU!
nitamfahamu tu mme wangu!naamini yupo hapa!im serious!nitaondoka muda si mrefu on line naacha tena my mail add nmasanja1@gmail.com
Is this janja ya Nyani ili tukutumie emails zetu halafu tunase mtego wa Usalama wa Taifa??
Napenda sana wanawake but huwa silagi junk food. Labda wakwre wasioona mbele ndio watakaokutafuta.....
wapendwa wana JF
mimi ni binti...