zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
NATAFUTA MSICHANA AU MWANAMKE WA KUOANA:
SIFA ZAKE:
1. UMRI: Kuanzia miaka 14 mpaka 65
2. ELIMU: Sio Muhimu
3. AFYA: i) Awe Tayari Kupima magonjwa yote ya kuambukiza
ii) Asiwe na maradhi ya kudumu, kama kichaa, pumu, kisukari, blood pressure (kupanda au kushuka)
4. SIFA: i) Awe ana mali zake au kwao ana mali na hatokuwa tegemezi, mimi
ntatimiza wajibu wangu wa nyumba, kula, kuvaa. Zaidi ya hayo ajitegemee.
ii) Awe mzuri
iii) Awe na dini, Muislam, Mkristo au Yahudi, lakini si wajina wa vitendo.
5) Kabila: Yeyote ile
6) Rangi: Yeyote ile
7) Hakuna kufanya mapenzi kabla ya ndoa.
8) Hakuna kungoja, akipatikana leo, tunapeleka posa kwa wazee, tunaoana immediately.
9) Baada ya ndoa: wageni nyumbani ni wale wa karibu tu, Baba, Mama, Kaka, Dada
Mjomba, Shangazi, Mama mdogo/mkubwa. Hao wote ni halisa sio
wa kufikia au wakupanga. Na wakikaa nyumbani zaidi ya siku tatu,
wanalipia gharama zote (kula, kulala, sabuni, maji, umeme, choo
n.k.)
10) Akubali kuwa mke wa tatu, nna wengine wawili, tunaishi kwa furaha na amani, kila mmoja anakaa kwake.
11) Umri wangu, zaidi ya miaka 50 sijafikia 60.
SIFA ZAKE:
1. UMRI: Kuanzia miaka 14 mpaka 65
2. ELIMU: Sio Muhimu
3. AFYA: i) Awe Tayari Kupima magonjwa yote ya kuambukiza
ii) Asiwe na maradhi ya kudumu, kama kichaa, pumu, kisukari, blood pressure (kupanda au kushuka)
4. SIFA: i) Awe ana mali zake au kwao ana mali na hatokuwa tegemezi, mimi
ntatimiza wajibu wangu wa nyumba, kula, kuvaa. Zaidi ya hayo ajitegemee.
ii) Awe mzuri
iii) Awe na dini, Muislam, Mkristo au Yahudi, lakini si wajina wa vitendo.
5) Kabila: Yeyote ile
6) Rangi: Yeyote ile
7) Hakuna kufanya mapenzi kabla ya ndoa.
8) Hakuna kungoja, akipatikana leo, tunapeleka posa kwa wazee, tunaoana immediately.
9) Baada ya ndoa: wageni nyumbani ni wale wa karibu tu, Baba, Mama, Kaka, Dada
Mjomba, Shangazi, Mama mdogo/mkubwa. Hao wote ni halisa sio
wa kufikia au wakupanga. Na wakikaa nyumbani zaidi ya siku tatu,
wanalipia gharama zote (kula, kulala, sabuni, maji, umeme, choo
n.k.)
10) Akubali kuwa mke wa tatu, nna wengine wawili, tunaishi kwa furaha na amani, kila mmoja anakaa kwake.
11) Umri wangu, zaidi ya miaka 50 sijafikia 60.