Hivi Unadhani crew ya JF walikuwa wajinga kuweka hii jukwaa la love connect?Nyie ndio waharibifu wakubwa na mnapoteza maana ya hili jukwaa na kushusha hadhi ya JF kwa ujumla wakati lilikuwa na maana nzuri tu.Badilikeni!!sio kukashifu kila kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.