hapo ndio sijakuelewa unamaanisha nini?...una mvuto wa kumvutia nani,.....watu wengine bana kucha kujisifia,...au ndio jf imevamiwa na masharobaro
<br />naendelea kusubilia wenye shida kama mimi, email yangu ni <a href="mailto:mtumwamtumwa@yahoo.com">mtumwamtumwa@yahoo.com</a>.
Igweeeeeee....unakumbuka yule dogo wa UDOM alijinasibu hapa?
Una mvuto?! Mvuto wa kichawi au? Kaaz kweli kweli