gubegubekubwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2008
- 637
- 814
Wana jf heshima zenu kwanza.Natafuta mweza awe kuanzia miaka 23-27,Elimu form six.Mimi kwa sasa niko ughaibuni nasoma nategemea kurudi Tanzania mwakani by july nima miaka 29.Kwa yeyote anayenikubali ani PM ili mawasiliano mengine yaanze na kujuana zaidi.