Natafuta mke wa kuoa ambaye ni mcha mungu

Muggssy

Member
Aug 20, 2011
70
11
Natafta mke wa kuoa ambaye yupo commited na god fearing awe tayari kuolewa na si kuchezeana. Awe mkristo na umri between 21-25 aliye tayari anitumie email kwenye marko7us@gmail.com
 
Usije kaa ukampenda mtu jf loh
utapendwa na mwanaume mwenzako bila kujua pengine ukaja jua mko na dte guest house
loh
 
Natafta mke wa kuoa ambaye yupo commited na god fearing awe tayari kuolewa na si kuchezeana. Awe mkristo na umri between 21-25 aliye tayari anitumie email kwenye marko7us@gmail.com
Mkuu,yaani wanawake wote waliojazana huko mabarabarani hujawaona na badala yake umekuja kuwatafuta wa JF?
Hata hivyo zingatia ushauri uliyopewa na Pididy
 
Huku woteee wameshikilia ak47 wanatafuta wa kurushia risasi kazi kwako kama uko poa kufanayo
rip rafiki
 
mkuu kwanini usijiunge kwenye kwaya ya kanisa unalo sali?......hapo lazima ung'oe kidosho wa ukweli
 
..huyu hapa mke tena ana mvuto balaa mtafute kwa wakati wako coz umetoa e-mail address nami nakupa yake:hii_sioFB@ondoa ujinga wako.usirudietena/Pdidy -kasemakweli.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom