Habari wanaJF?,ni kijana wa miaka 27 mkristo na nina elim ya chuo kikuu. Nina urefu wa wastan pia c mnene wala mwembamba. Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke wangu soon,.awe angalau na elim ya kidato cha nne na umri miaka 20-27 bila kuangalia dini,kabila wala rangi ila asiwe mnene sana. Kwa yeyote aliye tayar(pls serious sitanii) awasiliane cremamis@yahoo.com kwa maelezo zaidi. Asanten sana.