Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Very gud advice mbu
...naam,
Ndivyo ilivyo.
Imani "ya aina yoyote ile," haiwezi kutatua matatizo zaidi ya kukupa tu MATUMAINI. Inabidi mtu utumie akili yako kupanga, kuchagua, na kusimamia utekelezaji wa mipango uliyojiwekea katika kupambana na maisha.