Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Mwenye uwezo na nia,naomba kufadhiliwa kuchapisha kitabu.
Nipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha uandishi kabla ya kuchapa.
Kitabu kinatarajiwa kuwa na kurasa mia moja tu.
Kinahusu maisha ya watumishi na mazingira magumu wanayofanyia kazi.
Jina lake kitaitwa .........
Maelezo zaidi PM.
NB: Unaweza kutangaza biashara zako kupitia kitabu hiki kama utahitaji kufanya hivyo.
Ahsanteni na Mubarikiwe sana.
Nipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha uandishi kabla ya kuchapa.
Kitabu kinatarajiwa kuwa na kurasa mia moja tu.
Kinahusu maisha ya watumishi na mazingira magumu wanayofanyia kazi.
Jina lake kitaitwa .........
Maelezo zaidi PM.
NB: Unaweza kutangaza biashara zako kupitia kitabu hiki kama utahitaji kufanya hivyo.
Ahsanteni na Mubarikiwe sana.