Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 372
- 119
Natafuta mdhanini atakayenidhami kwenda nchini Afrika ya Kusini kwenda kufundisha KISWAHILI. Baadhi ya taasisi zisizo za kiserikali, zimeanzisha mafunzo ya lugha ya kiswahili huku zikikosa walimu wanaoweza kufundisha. Yeyote mwenye ushauri, maoni au anajua mdhamini naweza nikampata wapi, tafadhali tuwasiliane. Hii itasaidia kukikuza na kukieneza kiswahi barani Afrika na dunia nzima.