Natafuta mdada mwenye kuhimili zaidi ya goli tano.

nilifikiri umeenda fiesta?

Mashankupe na Midada ya Mjini kama sisi huwa hatuendagi Fiesta mapema.
Tunasubiri Disko toto liishe kwanza ndipo Tukisanue mida mikali ya Night.
Full kutega sampuli yenu huko,na viguo vya mguu-paja wazi.
 
Wee kweli kidume wangu goli tano...lazima k iwake moto.....endelea hivyo hivyo mwana acha na hawa washamba wanaosema love making no more than kukojoa...lovemaking ni kwa mke wako tuu...vimada/magoma ni mwendo wa kukojoa tuu...the more the better
 
Mhmm jamani wewe hujui mapenzi kote huko unatafuta nn mwanamke huridhika hata kwa kupapaswa pale sehemu kunako hisia hayo ya goli tano mashindano tena sijui kama utampata wa kutangwa kama mahindi ndani ya kinu


Nayanda
 
Mmemshambulia sana wakuu,yani hamna ata alie msapoti ktk ushuzi wake alioupost apa jf???
 
Eti nguvu nguvu, kwani watu wapigana mieleka. Hebu jipange kwanza kaka!
 
Taratiiibu Imma unaweza ukawa unapiga 5 ama zaidi lakini ndani ya dakia 10 zote... mwanaume mwingine akapiga 1/2/3 akakufikisha mwanamke hata mara 3, kuwa makini na vipimo vyako.. hapa tatizo sio goli, tatizo ni jinsi gani wafanya.

Ingekuwa hao wanawake unawakuna ipasavo nadhani ni kwamba wangeku ng'ang'ania sio kukukimbia.

Hapo chacha china cha kuchema
 
Ni ungvu nyingi za kiume ambapo kwa sasa imekuwa tatizo baada kuachwa na wapenzi wanne kwa kutaka kupunguza lakini mimi siwezi mbili,tatu ni kama ndo naanza.
Awe na umbo zuri na mzuri kitandani (mwenye kujituma).
Awe mwenye kupenda sana ku-make love.
Nicheki kwenye
immaboy_2006@yahoo.com
this is very serious please.

Huna lolote labda hata hudisi ila unajipakulia pilau kishenzi hapa jukwaani!!!! Nguvu nyingi siyo kujua mapenzi kabisa, kwanza mpaka hapo unaonekana moja kwa moja hujui lolote zaidi ya vurugu kitandani. Kama nguvu zimekuzidi chukua jembe kalime.
 
Hahahahahaha

Huna lolote labda hata hudisi ila unajipakulia pilau kishenzi hapa jukwaani!!!! Nguvu nyingi siyo kujua mapenzi kabisa, kwanza mpaka hapo unaonekana moja kwa moja hujui lolote zaidi ya vurugu kitandani. Kama nguvu zimekuzidi chukua jembe kalime.
 
Nguvu kitu cha kuisha,bwana mdogo,goli tano siyo kipimo cha nguvu nyingi,unaweza kupiga zote hizo,lakini ukikutana na watu kama sisi utajiona wewe ni tohashi tu,kwani tunaweza kukupa mfano kwa kukupiga goli moja tu alafu ukaenda kuamkia hospitalini.

Tobaa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom