NiPm kwa mawasiliano zaidi niko serious sana
Hiyo bahati nahisi ipo upande wangu kama vipi nikabidhini hata kwenye mashindano mshindi lazima apatikane me ndo mshindi au my sweet!
hahaa lol.okay ,tuyaache hayo ya huyo Rose.
poa kama uko serious mpenzi,nipe basi wasifu wako my dear.
tatizo hapa unajua tunakwenda kimaono,kama hujaneshwa maono na bwana hakuna kitu kitatokea.
Ndo maana me najiamini kuliko wote sababu najua kuwa kweli hata me kwenye maono umenitokea my sweet wala usiwaze!
Yaani ulivyoshtuka tu na mi nikaendelea kuota....
hahaa wala sitawaza kitu mwaya.
Hivi my sweet unaishi wapi vile?
Angalia uwe unafanana na hiyo avatar yako maana ndio inayowachanganya wengi, mi nadhani ungeweka picha kama ya remy ndio ungejua akupendae kwa dhati. Ila wengi humu udenda unawadondoka sababu ya avatar yako kwa kifupi washaichakachua
Angalia uwe unafanana na hiyo avatar yako maana ndio inayowachanganya wengi, mi nadhani ungeweka picha kama ya remy ndio ungejua akupendae kwa dhati. Ila wengi humu udenda unawadondoka sababu ya avatar yako kwa kifupi washaichakachua
unaniuliza mie..?
Ndio my love!
huwa najivunia ninapo sikia heshima na upole wakoooooooo,kwa watu wa pembeni............,naupenda sana huu wimbo
Mh, ndugu hilo jini mahaba kemea kabisaa mungu hawezi kukuotesha ndoto au kukupa maono ya hivyo wakati wewe sio singo ni ndoto ya shetani, kesho utaota huyo mchumba mnakula nae kapilau mix ooh. JESUS IS MY HOME BOY.
kweli eeh,mchina itabidi ahusike hapa coz cheusi halisi kiwowo chake hadi kwa darubini ndo ukione kwa mbali.