Natafuta mchumba.

vai

New Member
Jul 31, 2010
2
0
MIMI NI DADA WA MIAKA 29,MKRISTO,SINGLE,MPOLE NA MREMBO,SIJAWAHI KUOLEWA,SINA MTOTO.

NINATAFUTA MCHUMBA/MWANAUME WA KITANZANIA AISHIYE SWEDEN KWANI NDIKO NA MIMI NINAKOISHI.

NIMEAMUA KUCHUKUA UAMUZI HUU WA KUANDIKA KTK SITE HII MAANA MAZINGIRA NINAYOISHI SIKUTANI NA WEUSI WENZANGU NA SINA FEELINGS KABISA KWA WAZUNGU(IM NOT A RACIST THOUGH).

NITAFURAHI KAMA ATANIANDIKIA KIJANA ALIYE SERIOUS MWENYE SIFA HIZI;

MKRISTO,MWENYE MAKARATASI(MIMI NINAYO PIA),MWENYE KAZI,MPENDA MAENDELEO,ASIYEENDEKEZA STAREHE ZISIZO NA MPANGO,ANAYEHITAJI MCHUMBA KAMA MIMI,MUAMINIFU,SINGLE,MWENYE KUPENDA MAISHA YA UTULIVU.

EMAIL YANGU NI= vai00@hotmail.com

GOD BLESS YOU ALL.
 
Nakutakia matokeo mema,
umelenga kwa Sweden .ningekushauri uongeze wigo kwa sehemu zingine duniani,ingawa ww uko sweden.
Ila pia unaweza kupata mwenye hizo sifa sweden ,but what are the odds ?

Oya vidume wenye sifa hizo Sweden karata hiyo imedondokea kwenu.
 
I wonder haya masharti ya awe anaishi Sweden na makaratasi ni vipi. I am just thinking loud here, kama wewe ni msomi unaweza pata mchumba popote na mmoja wenu akamfuata mwingine. Ina maana asipopatikana kijana anayeishi Sweden mwenye makaratasi basi tena utazeekea huko kipweke. :fear:
 
I wonder haya masharti ya awe anaishi Sweden na makaratasi ni vipi. I am just thinking loud here, kama wewe ni msomi unaweza pata mchumba popote na mmoja wenu akamfuata mwingine. Ina maana asipopatikana kijana anayeishi Sweden mwenye makaratasi basi tena utazeekea huko kipweke. :fear:

Nilicho hisi mimi ni kwamba binti mtafuta mchumba anatafuta mtu anaye mpenda kwa dhati si lazima awe na karatasi.
Ila karatasi inakuja kuwa kigezo kwa kuwa watu wengi wamekuwa wanaoa na kuolewa kwa sababu za makaratasi ,sasa yeye kuwa ktk safe side na ku eleminate hilo tatizo na kujirizisha ndipo anaoptaka mwenye karatasi.
Ila mimi bado namshauri atafute na kwingine cha muhimu ni kumfata mtu watakao match na ndio aangaliwe yuko wapi.Vinginevyo ni kama ulivyosema MNDEE anaweza asiwepo kwa sweden mwenye sifa zote ingawa umetumia lugha kali kidogo lol atazeeka kipweke anyway ndio ukweli.
 
MIMI NI DADA WA MIAKA 29,MKRISTO,SINGLE,MPOLE NA MREMBO,SIJAWAHI KUOLEWA,SINA MTOTO.

NINATAFUTA MCHUMBA/MWANAUME WA KITANZANIA AISHIYE SWEDEN KWANI NDIKO NA MIMI NINAKOISHI.

NIMEAMUA KUCHUKUA UAMUZI HUU WA KUANDIKA KTK SITE HII MAANA MAZINGIRA NINAYOISHI SIKUTANI NA WEUSI WENZANGU NA SINA FEELINGS KABISA KWA WAZUNGU(IM NOT A RACIST THOUGH).

NITAFURAHI KAMA ATANIANDIKIA KIJANA ALIYE SERIOUS MWENYE SIFA HIZI;

MKRISTO,MWENYE MAKARATASI(MIMI NINAYO PIA),MWENYE KAZI,MPENDA MAENDELEO,ASIYEENDEKEZA STAREHE ZISIZO NA MPANGO,ANAYEHITAJI MCHUMBA KAMA MIMI,MUAMINIFU,SINGLE,MWENYE KUPENDA MAISHA YA UTULIVU.

EMAIL YANGU NI= vai00@hotmail.com

GOD BLESS YOU ALL.

Maji yamemfika shingoni.....! Kweli dunia hadaa.....ulimwengu shujaa..!
 
Nilicho hisi mimi ni kwamba binti mtafuta mchumba anatafuta mtu anaye mpenda kwa dhati si lazima awe na karatasi.
Ila karatasi inakuja kuwa kigezo kwa kuwa watu wengi wamekuwa wanaoa na kuolewa kwa sababu za makaratasi ,sasa yeye kuwa ktk safe side na ku eleminate hilo tatizo na kujirizisha ndipo anaoptaka mwenye karatasi.
Ila mimi bado namshauri atafute na kwingine cha muhimu ni kumfata mtu watakao match na ndio aangaliwe yuko wapi.Vinginevyo ni kama ulivyosema MNDEE anaweza asiwepo kwa sweden mwenye sifa zote ingawa umetumia lugha kali kidogo lol atazeeka kipweke anyway ndio ukweli.

Tatizo tukimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa anaweza ngoja mchumba wa Sweden asipatikane. Pengine mchumba yuko Bongo, US, UK au sehemu nyingine. Yuko jamaa mmoja aling'a'ngana haoi mpaka mzungu, miaka inaenda mzungu anayemtaka hampati akaoa mbongo mwenzie saa hizi ametulia anabembeleza watoto:A S shade:
 
Tatizo tukimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa anaweza ngoja mchumba wa Sweden asipatikane. Pengine mchumba yuko Bongo, US, UK au sehemu nyingine. Yuko jamaa mmoja aling'a'ngana haoi mpaka mzungu, miaka inaenda mzungu anayemtaka hampati akaoa mbongo mwenzie saa hizi ametulia anabembeleza watoto:A S shade:

uko sahihi sana ,hope atasika
 
vai
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-offline.png
Junior Member Join Date Sat Jul 2010
Posts 1
Thanks : 1
Thanked 0 Times in 0 Posts

karibu sana VAI.....ila ukishindwa kupata hapa nenda www.u-turn.co.tz kule naamini utapata msaada zaidi.....
Je vipi kama mimi niko tanzania na ninaweza kuja huko Sweden sifai??
 
Nilicho hisi mimi ni kwamba binti mtafuta mchumba anatafuta mtu anaye mpenda kwa dhati si lazima awe na karatasi.
Ila karatasi inakuja kuwa kigezo kwa kuwa watu wengi wamekuwa wanaoa na kuolewa kwa sababu za makaratasi ,sasa yeye kuwa ktk safe side na ku eleminate hilo tatizo na kujirizisha ndipo anaoptaka mwenye karatasi.
Ila mimi bado namshauri atafute na kwingine cha muhimu ni kumfata mtu watakao match na ndio aangaliwe yuko wapi.Vinginevyo ni kama ulivyosema MNDEE anaweza asiwepo kwa sweden mwenye sifa zote ingawa umetumia lugha kali kidogo lol atazeeka kipweke anyway ndio ukweli.

thanks kwa kunitetea kuhusu makaratasi.Pamoja na kuwa nimesema aliyeko sweden lkn kama atatokea mwenye sifa hizo kutoka nchi zingine pia sitakuwa na tatizo juu ya hilo.
 
Achana na makaratasi, njoo tule bata huku kijijini kwetu, nini MAKARATASI bwana????
 
As far as segmentation is concerned... Ceteris peribus (age, sex, income, location...), she is not that serious
 
mungu akutangulie mpendwa,usikatishwe moyo na wachache au wengi waliozoea kuwakosoa wenzao kila wanapotangaza kutafuta wachumba hapa.usife moyo tangaza na ktk mitandao mengine utapata tu ila kuwa makini sana maana mtandaoni kuna wema na wabaya pia.kama ulivyoshauriwa panua wigo wa utafutaji wako.
muombe mungu atakupatie tu haja ya moyo wako usife moyo maana hivi nakwambia juzi nimetoka ktk harusi ya shemeji yangu ambaye amemuoa mchumba wake waliyekutaniana mtandaoni na wanapendana na kuheshimiana kuliko hata wale waliokutaniana sunday school.
 
Cheusi i missed u like crazy..
Upooo?

Mkuu boss hii ni issue ya kutafuta Mchumba mambo ya Cheusi tena wapi na wapi?
Umeoa lakini?

dada Vai pole sana naona kweli uko serious na hope utafanikiwa, lakini inabid uwe makini mno kama walivyokushauri wadau, haya mambo ya kwenye mitandao yana mengi watu wanapretend sio kidogo na unawezakupata shida sana ya kuselect, fanya mpano wa kurudi bono japo kwa muda na pitapita sana kwenye nyumba za ibada nadhani unaweza kupata mtu ambaye unaweza kumtrace tabia na history yake

mafanikio mema dad VAi
 
Mkuu boss hii ni issue ya kutafuta Mchumba mambo ya Cheusi tena wapi na wapi?
Umeoa lakini?

dada Vai pole sana naona kweli uko serious na hope utafanikiwa, lakini inabid uwe makini mno kama walivyokushauri wadau, haya mambo ya kwenye mitandao yana mengi watu wanapretend sio kidogo na unawezakupata shida sana ya kuselect, fanya mpano wa kurudi bono japo kwa muda na pitapita sana kwenye nyumba za ibada nadhani unaweza kupata mtu ambaye unaweza kumtrace tabia na history yake

mafanikio mema dad VAi

aaah kituko acha hizo bana ujue hata msibani watu wanacheka so mie na braza the boss kwenda off-key kidogo sio mbaya maana ndo kwanza tunakutana baada ya kupoteana kwa muda mrefu.ucjali lkn natumai hujambo.
 
SINA FEELINGS KABISA KWA WAZUNGU(IM NOT A RACIST THOUGH).

Hii contradiction inachekesha sana.

Mtu racist ni yule anaye discriminate mambo yasiyohusiana na race kwa kutumia race. Wewe una discriminate mchumba kwa mujibu wa race, halafu unasema "I am not racist though.

Could it be that you are so self conscious about your racism to the point that you feel the need to mention it apologetically.

Kubali tu, ukiwa hutaki kuwa na mchumba wa race nyingine wewe ni racist, that is only natural, we all have a degree of racism in us, it may even be unconscious.
 
kiswahili kigumu ..................kakusudia roho haimpigi akiona wazungu kwa hiyo bora tu ajichukulie mbongo mwenziwe!

btw i personally believe kila mtu yuko racist somehow (which some call favouratism) ....tunatofautiana the degree tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom