Badra juma
New Member
- Jul 18, 2012
- 3
- 0
Natafuta mchumba namba zangu za sim ni 0765672824
Natafuta mchumba namba zangu za sim ni 0765672824
mwanaume,mwanamke?tuma vocha upigiwe....:redface::redface::flypig:
Atakapopatikana kilaki2 n tafanya kwa ajili yake
wow..ncheki hapa abdulhaleemalmasih@yahoo.comAtakapopatikana kilaki2 n tafanya kwa ajili yake
Nakutakia kila la kheri dadaNatafuta mchumba namba zangu za sim ni 0765672824
Jamani unajua nahisi hili jukwaa liliwekwa kwa maana serious lakini naona kama siku hizi limegeuzwa chit chat! Uhsauri wangu ni kwamba for people who are serious ndio wapost hapa na kwa wale walioko serious ndio warespond pia. Mi naona watu wanakuwa serious wanapost mahitaji yao lakini wanavunjwa nguvu na jokers waliovamia humu. Nafikiri kuna majukwaa ya jokes nendeni huko mkajoke na hapa waacheni wale wenye nia za dhati
Natafuta mchumba namba zangu za sim ni 0765672824
nikweli kabisa kuna watu hawajaelewa lengo hasa.Jamani unajua nahisi hili jukwaa liliwekwa kwa maana serious lakini naona kama siku hizi limegeuzwa chit chat! Uhsauri wangu ni kwamba for people who are serious ndio wapost hapa na kwa wale walioko serious ndio warespond pia. Mi naona watu wanakuwa serious wanapost mahitaji yao lakini wanavunjwa nguvu na jokers waliovamia humu. Nafikiri kuna majukwaa ya jokes nendeni huko mkajoke na hapa waacheni wale wenye nia za dhati
Atakapopatikana kilaki2 n tafanya kwa ajili yake
Kwa mtazamo wa jina lake nafikiri ni mwanamke kwasababu majina hayo yapo mawili, Badra kwa wanawake na Badru kwa wanaumeAlietuma hii post nae hayupo serious hajatoa hata jinsia yake ni ipi
Kwa mtazamo wa jina lake nafikiri ni mwanamke kwasababu majina hayo yapo mawili, Badra kwa wanawake na Badru kwa wanaume
Kweli kabisa mkuu labda mtoa post pia ungetoa jinsia yako...Na kwa wengine perhaps mngetoa maelezo yanayojitosheleza mnapopost ili kupunguza maswaliHata mie nimeyaona hayo majina lakini kuweka jinsia ni muhimu maana kuna watu wanaitwa Furaha, Neema ni wanaume pia japo si wengi
mbona hujatoa vigezo mdau au hata mwny utindio sana tu