Mimi ni mwaanaume nina miaka 26, natafuta mschana ambaye naweza kuanza nae maisha, tabia njema ndio kigezo changu kikubwa, awe mwenye mapenzi ya kweli. hapokuwa nimetendwa mara kadhaa lakin sina namna because natakiwa kuwa na familia natakiwa kuwajibika kama baba wa familia. so kama kuna women mwenye tatizo kama langu lets try to solve it.