kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
binafsi mimi ni kijana wa umr wa miaka 27,ni mwanafunz wa mwaka wa tatu chuo cha st John dodoma.natafuta mchumba ambaye mungu akipenda tutakua mwili mmoja hapo baada,dini wala kabila sizingatii sana ilimradi tu awe na umri kuanzia miaka 20 hadi 27,awe na nidhamu ya hali ya juu kuanzia nyumbani,na nje ya hapo,mcha mungu na anaejua nini maana ya maisha.tafadhali hiki ni kitu ambacho nipa kipaumbele kikubwa na nipo nacho serious hivyo kama upo tayari tuwasiliane\