Nipo morogoro chuo kikuu sokoine,natafuta mchumba wa kuoa.Nina umri wa miaka 29.sichagui rangi wala kabila.Awe mkristu.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email josephmtonga@ymail.com
Mchumba hatafutwi hivi kazania masomo kwanza kila jambo na wakati wakeNipo morogoro chuo kikuu sokoine,natafuta mchumba wa kuoa.Nina umri wa miaka 29.sichagui rangi wala kabila.Awe mkristu.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email josephmtonga@ymail.com
Kutongoza ni art
Nipo morogoro chuo kikuu sokoine,natafuta mchumba wa kuoa.Nina umri wa miaka 29.sichagui rangi wala kabila.Awe mkristu.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email josephmtonga@ymail.com
Nani alikudanganya wachumba au mke anapatikana kwenye mitandao?
zamani ilikuwa ukitangaza ndoa tu unapata watoto wa kumega chapchap, siku hizi wameshashtukia labda ujaribu gia nyingine...natafuta mchumba wa kuoa
mmmh, nimekumbuka moja ... jifanye umekuja likizo mara moja toka ughaibuni, unataka uoe fasta na kuondoka naye teh teh teh...
Duuu,kurupuuu tiii ndani hugongi hata hodiiii,yaani post ya kwanza tuu unataka tukupe mke,haya banaaaa!!!!Nipo morogoro chuo kikuu sokoine,natafuta mchumba wa kuoa.Nina umri wa miaka 29.sichagui rangi wala kabila.Awe mkristu.Aliye tayari tuwasiliane kupitia email josephmtonga@ymail.com
Mdanganyeeeeee!!!