J Johnson2012 Member Jan 27, 2012 93 11 Feb 9, 2012 #1 awe na elimu ya dini yeyote awe na umri wowote asizidi miaka 40 awe tayari kuishi popote
isamilo1982 Member Jan 17, 2012 55 5 Feb 12, 2012 #2 wewe mwenyewe unavigezo gani johnson? umeandika haraka haraka kama unakimbizwa
mjombo's JF-Expert Member Oct 21, 2011 494 83 Feb 12, 2012 #3 tupe cv yako ili tukupe advanced aproach kijana.... simply i min ur description
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Feb 12, 2012 #4 atakuwa alikuwa ameachwa na basi akaklick submit bila kumaanisha.
Kbd JF-Expert Member Oct 9, 2009 1,260 447 Feb 13, 2012 #5 Johnson2012 said: awe na elimu ya dini yeyote awe na umri wowote asizidi miaka 40 awe tayari kuishi popote Click to expand... Mi ndio bado niko chuoni najifunza dini hiyo hiyo ya kwako na kwenye umri pandisha kidogo kama kumi moja hivi, nitume barua ya maombi
Johnson2012 said: awe na elimu ya dini yeyote awe na umri wowote asizidi miaka 40 awe tayari kuishi popote Click to expand... Mi ndio bado niko chuoni najifunza dini hiyo hiyo ya kwako na kwenye umri pandisha kidogo kama kumi moja hivi, nitume barua ya maombi