Emasaku
Member
- Sep 24, 2011
- 51
- 6
Habarini wana JF, mimi ni kijana mwenye miaka 28, baada ya kuwa mpweke kwa muda mrefu atimaye nimeona bora nitafute mchumba jamani! Sifa zangu nitaelezea kidogo tu, ni mrefu, maji ya kunde na handsome kiasi chake!
Vigezo muhimu vya msichana,
1. Awe na elimu ya secondary na kusomea course yeyote au awe na diploma/degree!
2. Awe mkweli na mcha mungu, awe single!
3. Kisura awe mweupe/maji ya kunde, mrefu kiasi, mnene kiyasi
4. Asiwe mtu wa night club, awe mtu wakujituma na mpenda maendeleo!
Nipo serious Jamani sitanie!!!!
Vigezo muhimu vya msichana,
1. Awe na elimu ya secondary na kusomea course yeyote au awe na diploma/degree!
2. Awe mkweli na mcha mungu, awe single!
3. Kisura awe mweupe/maji ya kunde, mrefu kiasi, mnene kiyasi
4. Asiwe mtu wa night club, awe mtu wakujituma na mpenda maendeleo!
Nipo serious Jamani sitanie!!!!