natafuta mchumba wa kuoa.

Mr.kibulala

Member
Nov 8, 2011
58
20
hbr wanajf,natafuta mchumba ambaye nitafunga nae ndoa.SIFA:- Umri 22-26, Elimu kidato cha 6 nakuendelea.CALL 0759377080
 
Mwaga cv yako, kazi wapi?, salary 6 figures zinafika? Unadrive nini? Umejenga?  Je kuna incetives gani mtu akikubali kuolewa na wewe kuliko kubaki singo???? Ujue hizi ndoa za internent upendo hakuna, kilichobaki ni kuangalia maslahi tu!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom