Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Mimi naitwa Power G. Nina umri wa miaka 32, urefu futi 8 na umbo langu kama ninavyoonekana kwenye picha yangu hapo juu. Nina elimu ya msingi na kazi yangu ni mnyanyua vitu vizito. Natafuta binti mwenye umri kuanzia miaka 25 hadi 30 wa kabila lolote na dini yoyote na awe amesoma kunishinda mimi ili anisaidie kuifahamu dunia. Mchumba asiliogope umbile langu, kwani ni kifua tu kipana lakini "vifaa" vingine vyote ni saizi ya kawaida. Aliye tayari naomba anipm