Natafuta mchumba wa kiume

If you are really and truly saved it is time for you to pray and fast for your Husband na sio kutafuta mwingine. There is no excuse isipokuwa kifo so watch out unasema you are saved huku unatafuta mume mwingine?? That is adultery my sister despite of your reasons or excuses the word of God doesn't change it is still there ni Kifo tu Dada yangu cha kuwatenga. Fikiria sana kabla hujachuma janga lingine
Mshikaji una maneno mazuri sana ya kutia moyo, kufundisha na kusaidia lkn yananipa wasiwasi km kweli una nia ya kumsaidia huyu dada au kuna kingine zaidi unakitafuta maana yeye kasema kakuelewa na atakuja pm but still u insist on ur words. Ok msaidie tu dada wa watu
 
Mchumba utampata Tu sio lazma humu nina shangaz yangu kaolewa mwez uliopita ana 34 yrs ila mchumba hajampata Jamii Forums so wale unaokutana nao huko kitaan atakuwepo Tu mchumba
 
Miaka 34 ulikua unasubiria nini?? Ok haoa kwa huo umri utakua bi mdogo wa wenye vipato make haina namna

Ushauri tafuta mtoto wa masikini kwenye hizo taasisi za elimu umuoe wewe na siyo yeye akuoee

Kwa umri huo piga ua kupata wa sazi yako mjukuu wangu utakesha, huo umri uliouta wa miaka 34 na kuendelea wanadili na wasichana wa 18 mpaka 24
Watu kama nyie ni watu mnaojifunza toka kwa walioshindwa na kukata tamaa, kuolewa hakuna umri
jamani hebu msaidieni huyu mtu inaonekana hili jambo linamtatiza
 
Mshikaji una maneno mazuri sana ya kutia moyo, kufundisha na kusaidia lkn yananipa wasiwasi km kweli una nia ya kumsaidia huyu dada au kuna kingine zaidi unakitafuta maana yeye kasema kakuelewa na atakuja pm but still u insist on ur words. Ok msaidie tu dada wa watu

Mkuu it's not my words ni maneno ya Mungu anayeishi and He is never wrong. Huyu Dada alikuja PM kweli na nilimshauri japo sitaki kumsemea but may God have mercy on Her
 
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Una mtoto..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom