novavilla8
Member
- Jul 27, 2016
- 24
- 13
Pole ndg ila mm natafuta pia
Mbona una miaka 23 na yeye anataka kuanzia 34+4472722525 take my number plz!!
..haha!nipo hapa dada vigezo nnavyo ila elimu ndo sina ya juu kama weweHabari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Mbona una miaka 23 na yeye anataka kuanzia 34
pepo la uzinzi bado unalitetea! ukiokoka na kumwamini Mungu, uyo mchumba atakufuata mwenyewe lakini wewe unalazimisha kwa mapenzi yako! kiukweli Mungu hausiki hapa! labda uyo mungu wa dunia hii!Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
NImeshapata my dear tena handsome na msomi. Weee kaa hivyo hivyo usubiri mungu akuletee bila kufanya effortsHaina haja kutafuta mchumba kwenye mitandao nikujizalilisha
Wengi ni serengeti boys humu ndani yani wasumbufuHuyu dada mbona mnasema ana umri mkubwa wakati bado ni binti mbichi kabisa.
Nshapataacha kutuzingua, yaani tangia ulipoweka hii post ulionekana haupo serious, binafsi naamini katika matumazi chanya ya teknolojia, ila siamini njia hii uliyotumia unaweza pata mtu makini.
samahani kama nitakukwaza, its just what im thinking sis
Lazima utakua teenagerSifanyi masihara ila nasema kweli, kwa umri huo tayari ni doa ktk maisha ya ndoa, utakutana na waliochelewa wenzako aidha ktk kusoma au ukapera nao wanatafuta pakutua mzigo wao, wote mtakuwa mnataka kutimiza maandioko tu ila kutoka ndani ya mioyo mtakuwa mnahadaana. Umejitahidi sana kusoma na kuwa na kazi nzuri ila umechelewa kutafuta mwenza. Mungu akusaidie lakini.
kuna ndugu yangu nae anatafuta mke sijui niwakutanishe vipi ili mkubalianeHabari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na kuendelea. Awe na kipato. Awe tayari kusaidiana maisha. Nipo serious mno sihitaji masihara.
Ur very wrongSifanyi masihara ila nasema kweli, kwa umri huo tayari ni doa ktk maisha ya ndoa, utakutana na waliochelewa wenzako aidha ktk kusoma au ukapera nao wanatafuta pakutua mzigo wao, wote mtakuwa mnataka kutimiza maandioko tu ila kutoka ndani ya mioyo mtakuwa mnahadaana. Umejitahidi sana kusoma na kuwa na kazi nzuri ila umechelewa kutafuta mwenza. Mungu akusaidie lakini.