Heshima yenu Wana JF,
Natambua penye wengi hakiharibiki kitu,mimi nimebahatika kupata elimu ya chuo kikuu na Mungu amejalia nimemaliza degrii ya pili na sasa nafanya kazi.Kipato changu ni cha kwaida nikimaanisha naweza kuyamudu maisha ya hapa na pale ndani ya jiji la Dsm.Tatizo langu ni moja, tangu nasoma nimekuwa busy saaana na shule nikasahau kuwa mke wa kuoa inabidi kumwandaa mapema.Nasikikitika kuwa nilijisahau katika hilo na sasa nakimbilia miaka 33 na sikuwahi kuwa na angalau girlfriend. Kwa kifupi nilikiwa kishule zaidi.
Bahati mbaya shughuli zangu zinanifanya niwe busy karibu masaa mengi na sipati mda wa kujichanganya na washikaji ili nifahamiane na madada, si mnajua tena umhimu wa exposure.Jamani natafuta msichana mpole, mwenye heshima anayewajali watu na kuthamini utu kuliko vitu maana anaweza kupenda mafanikio yangu na si mimi,awe na elimu nzuri angalau diploma, akiwa mwalimu au mwalimu mtarajali itapendeza zaidi, asiwe mhuni (amuogope na kumchaMungu), mimi namuogopa na Kumheshimu Mungu, natoka Ngara, jamani, chonde chonde tusaidiane katika hilo. Awe tayari kupima afya yake na kujishughulisha katika shughuli za uzalishaji nje ya ajira.Kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane katika email ifuatayo (nzomwi11@yahoo.com), email zote zitajibiwa.Awe na umri usiozidi miaka 25. Asanteni saaaana
Natambua penye wengi hakiharibiki kitu,mimi nimebahatika kupata elimu ya chuo kikuu na Mungu amejalia nimemaliza degrii ya pili na sasa nafanya kazi.Kipato changu ni cha kwaida nikimaanisha naweza kuyamudu maisha ya hapa na pale ndani ya jiji la Dsm.Tatizo langu ni moja, tangu nasoma nimekuwa busy saaana na shule nikasahau kuwa mke wa kuoa inabidi kumwandaa mapema.Nasikikitika kuwa nilijisahau katika hilo na sasa nakimbilia miaka 33 na sikuwahi kuwa na angalau girlfriend. Kwa kifupi nilikiwa kishule zaidi.
Bahati mbaya shughuli zangu zinanifanya niwe busy karibu masaa mengi na sipati mda wa kujichanganya na washikaji ili nifahamiane na madada, si mnajua tena umhimu wa exposure.Jamani natafuta msichana mpole, mwenye heshima anayewajali watu na kuthamini utu kuliko vitu maana anaweza kupenda mafanikio yangu na si mimi,awe na elimu nzuri angalau diploma, akiwa mwalimu au mwalimu mtarajali itapendeza zaidi, asiwe mhuni (amuogope na kumchaMungu), mimi namuogopa na Kumheshimu Mungu, natoka Ngara, jamani, chonde chonde tusaidiane katika hilo. Awe tayari kupima afya yake na kujishughulisha katika shughuli za uzalishaji nje ya ajira.Kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane katika email ifuatayo (nzomwi11@yahoo.com), email zote zitajibiwa.Awe na umri usiozidi miaka 25. Asanteni saaaana