Natafuta mchumba nimechoshwa na ubachela

SMG

Member
Oct 1, 2011
40
6
Jamani naomba mnisaidie kwa ushauri ili kufanikisha ndoto yangu.mm nina miaka 25, nina elimu ya chuo kikuu, ninatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
*awe na umri usiozidi miaka 22
*awe ni msichana mtanashat, mtii, full of smiles na mwenye mvuto hata kama nikitoka nae bas nijisikie pride,
*awe white/majiakunde,
*awe mchamungu,
*awe na mwili wa wastan na urefu wa wastan,
*awe na elimu isiyopungua form 4,
*awe tayar kuish sehemu yeyote Tanzania. Naamin kupitia jf nitapata ushaur wa kunifaa na ikiwezekana mchumba na mke mtarajiwa kabisa.Hivyo naomba ushirikiano wenu.
Ndugu zangu naomba tuwasiliane kupitia.
0757481196,
ANDREW ANELSE
 
Jamani naomba mnisaidie kwa ushauri ili kufanikisha ndoto yangu.mm nina miaka 25, nina elimu ya chuo kikuu, ninatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
*awe na umri usiozidi miaka 22
*awe ni msichana mtanashat, mtii, full of smiles na mwenye mvuto hata kama nikitoka nae bas nijisikie pride,
*awe white/majiakunde,
*awe mchamungu,
*awe na mwili wa wastan na urefu wa wastan,
*awe na elimu isiyopungua form 4,
*awe tayar kuish sehemu yeyote Tanzania. Naamin kupitia jf nitapata ushaur wa kunifaa na ikiwezekana mchumba na mke mtarajiwa kabisa.Hivyo naomba ushirikiano wenu.
Ndugu zangu naomba tuwasiliane kupitia.
0757481196,
ANDREW ANELSE
Dogo mambo ya umri na hako ka_elimu ka chuo kikuu hakana maana yoyote kwenye ulimwengu wa mapenzi wa sasa,...wewe pambana ukamate mihela kila kitu kitaenda kwenye mstari.....pole kwa usumbufu
 
Mtafutie mtaani kwenu! huku jf utawakuta warembo wengi sana lakini karibu wote watataka wakutawale je, upo tayari?
 
Jamani naomba mnisaidie kwa ushauri ili kufanikisha ndoto yangu.mm nina miaka 25, nina elimu ya chuo kikuu, ninatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
*awe na umri usiozidi miaka 22
*awe ni msichana mtanashat, mtii, full of smiles na mwenye mvuto hata kama nikitoka nae bas nijisikie pride,
*awe white/majiakunde,
*awe mchamungu,
*awe na mwili wa wastan na urefu wa wastan,
*awe na elimu isiyopungua form 4,
*awe tayar kuish sehemu yeyote Tanzania. Naamin kupitia jf nitapata ushaur wa kunifaa na ikiwezekana mchumba na mke mtarajiwa kabisa.Hivyo naomba ushirikiano wenu.
Ndugu zangu naomba tuwasiliane kupitia.
0757481196,
ANDREW ANELSE

unaogopa nini kutaja jina lako la kweli? Feis Buku anataka statement za bank. (ANDREW A. SENGE)
Kuandika Senge haimaanishi kuwa wewe ni M..NGE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom