Jamani naomba mnisaidie kwa ushauri ili kufanikisha ndoto yangu.mm nina miaka 25, nina elimu ya chuo kikuu, ninatafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:-
*awe na umri usiozidi miaka 22
*awe ni msichana mtanashat, mtii, full of smiles na mwenye mvuto hata kama nikitoka nae bas nijisikie pride,
*awe white/majiakunde,
*awe mchamungu,
*awe na mwili wa wastan na urefu wa wastan,
*awe na elimu isiyopungua form 4,
*awe tayar kuish sehemu yeyote Tanzania. Naamin kupitia jf nitapata ushaur wa kunifaa na ikiwezekana mchumba na mke mtarajiwa kabisa.Hivyo naomba ushirikiano wenu.
Ndugu zangu naomba tuwasiliane kupitia.
0757481196,
ANDREW ANELSE
*awe na umri usiozidi miaka 22
*awe ni msichana mtanashat, mtii, full of smiles na mwenye mvuto hata kama nikitoka nae bas nijisikie pride,
*awe white/majiakunde,
*awe mchamungu,
*awe na mwili wa wastan na urefu wa wastan,
*awe na elimu isiyopungua form 4,
*awe tayar kuish sehemu yeyote Tanzania. Naamin kupitia jf nitapata ushaur wa kunifaa na ikiwezekana mchumba na mke mtarajiwa kabisa.Hivyo naomba ushirikiano wenu.
Ndugu zangu naomba tuwasiliane kupitia.
0757481196,
ANDREW ANELSE