Natafuta mchumba mzenj

muungano si tatizo, tatizo ni nyodo, maringo na majivuno ya wadada wa bara. Muungano ukivunjika wakaka watakwenda DRC, zambia au malawi.
duh kwa heri ila kama vipi kaoeni somalia mzae vig.......
 
muungano si tatizo, tatizo ni nyodo, maringo na majivuno ya wadada wa bara. Muungano ukivunjika wakaka watakwenda DRC, zambia au malawi.

Kwanza senksi, lakini mbona umeenda mbali, kuna wana EAC wapo, si naskia kuna soko la pamoja la Afrika Mashariki-Je kwani hiyo pia haijaingizwa katika hilo soko? tena naskia huko kwa Kagame watoto bomba na ukifika ni kumwita shehe au mchungaji mnamaliza mchezo mnapanda Reli ya kurudi bongo aliyozindua mkuu wa nchi juzijuzi apa-poa
 
Kwanza senksi, lakini mbona umeenda mbali, kuna wana EAC wapo, si naskia kuna soko la pamoja la Afrika Mashariki-Je kwani hiyo pia haijaingizwa katika hilo soko? tena naskia huko kwa Kagame watoto bomba na ukifika ni kumwita shehe au mchungaji mnamaliza mchezo mnapanda Reli ya kurudi bongo aliyozindua mkuu wa nchi juzijuzi apa-poa

EAC kuna issue zake, wadada wa kenya ni ma-opportunist tu, waganda nao wanaenda hukohuko hasa baganda's watutsi ni balaa usipime.
Fanya utafit kila aliyeoa mtusi utakuta watoto wanafanana na mama kwa mwonekano kwa kisingizio kuwa watutsi wana damu kali, but the truth is terrifying.

Wanawake wa kitutsi wana tabia moja, ikiwa mume wake si mtutsi na hajui tabia zao, on every danger days (zile possible za kupata mimba) lazima awe na mwanaume mtutsi mwenzake pembeni kama inawezekana, hata kama ni uncle wake au binamu yake ambaye atahakikisha in those days jamaa anamega kabla ya mume hata kama ni mchana, ili kama ni mimba iwe ni ya mtutsi na si asiye mtutsi. Besides inasemekana ni Feminine soxiety - watoto ni wa mama si baba. So be careful if you have a dream of marrying a tutsi nawe si mtutsi.
 
Nimetoka Jukwaa la Siasa huko, yaani linafuka moshi kuhusu vuguvugu la kuvunja Muungano, baada ya kutafakuri kwa kina nikaona bora mie nichukue hatua za kuuimarisha huu Muungano badala ya kuuvunja kwa kutafuta mchumba binti mwenye umri kati ya 19-30 mzanzibari kindakindaki-ili hata ukivunjika bac udugu wa damu uendelee ku-exist (Hata hivyo mapenzi ya kweli yatazingatiwa, kudumishwa na ndiyo sababu kuu ya kutaka mchumba). Awe na elimu at least form 4, dini yoyote ile; Kuhusu mimi ni Mtanganyika swaafi wa kipato cha wastani kisichotegemea ufisadi bali radhi za M/Mungu.
Muhitaji wa kweli ani-PM

Miaka 30 kindakinda. Unamaanisha nini? Maumbile au?
 
kama vile huna dadazako wanaoitaji kuolewa siku flani...au ndio kutushikisha adabu??

Marytina Nina madada wengi, wengine wameolewa na wengine bado. tatizo I am a realist ambaye siwezi kutomwambia mtu ukweli, ninyi wadada wa bara mmekuwa ma-idealist mno mpaka vijana wanawaogopa na ndiyo maana mnaona kama vijana hawataki kuoa, kumbe wanawaogopa kutokana na tabia na desturi ambazo mmejitengenezea kiasi kwamba zinasababisha inferiority complexes kwa vijana. Jamii pia hasa ya kikristo inachangia mno kwa hili, mahari nyingi, gharama kubwa kwa harusi.

Jichunguze wewe mwenyewe ikiwa una tabia ambayo unaona hata rafiki au boyfriend wako inamfanya asite kufanya maamuzi irekebishe au iache, or ask him. or ni-Pm I can advice you more.
 
Marytina Nina madada wengi, wengine wameolewa na wengine bado. tatizo I am a realist ambaye siwezi kutomwambia mtu ukweli, ninyi wadada wa bara mmekuwa ma-idealist mno mpaka vijana wanawaogopa na ndiyo maana mnaona kama vijana hawataki kuoa, kumbe wanawaogopa kutokana na tabia na desturi ambazo mmejitengenezea kiasi kwamba zinasababisha inferiority complexes kwa vijana. Jamii pia hasa ya kikristo inachangia mno kwa hili, mahari nyingi, gharama kubwa kwa harusi.

Jichunguze wewe mwenyewe ikiwa una tabia ambayo unaona hata rafiki au boyfriend wako inamfanya asite kufanya maamuzi irekebishe au iache, or ask him. or ni-Pm I can advice you more.
hapo red unaongopa manake mahari ni negotiation na huchukuliwa kama deni la kizazi na sio kulipa onspot.migarama ya harusi ni kujitakia misifa sio itifaki ya kuheshimiwa sana.
 
hapo red unaongopa manake mahari ni negotiation na huchukuliwa kama deni la kizazi na sio kulipa onspot.migarama ya harusi ni kujitakia misifa sio itifaki ya kuheshimiwa sana.

si jamii zote zinatoa/au kupokea mahari nusu nusu. Hata kama mahari ni negotiable ni negotiable kwa kiwango kipi? Hiyo gharama ya mijisifa ndilo tatizo kubwa la watz, nini huelewi hapo. Ni wasichana/jamii ngapi za kikristo tz wanaweza kukubali ndoa yenye sherehe ya gharama ndogo sana kama zile za ndugu zangu wanaoamini ndoa ni ibada na hivyo hutakiwi kutumia gharama kubwa ya vikao vingi na sherehe ya mamilioni?
 
si jamii zote zinatoa/au kupokea mahari nusu nusu. Hiyo gharama ya mijisifa ndilo tatizo kubwa, nini huelewi hapo.
sielewi huo uamuzi mbovu ya kuoa zenji, kwa nini msitueleze kutaka kutuoa ndio tuafikiane namna ya to make dream true kuliko just kuoa zenji hata msiowapenda?
 
sielewi huo uamuzi mbovu ya kuoa zenji, kwa nini msitueleze kutaka kutuoa ndio tuafikiane namna ya to make dream true kuliko just kuoa zenji hata msiowapenda?

hapo ndipo shida ilipo, pengine mnaonekana kama hamwambiliki.
 
sielewi huo uamuzi mbovu ya kuoa zenji, kwa nini msitueleze kutaka kutuoa ndio tuafikiane namna ya to make dream true kuliko just kuoa zenji hata msiowapenda?

Marytina, hapa nilipo natetemeka kwa msisimko/light shock nilioupata wakati nasoma post yako-nilishasema nyie mkiguswa mnadai "sifikirii kabisa kuolewa kwa sasa" sasa kosa letu letu nini? Da Marytina, kumbuka kuwa "Bad money drives away good money out of supply"! au unasemaje na katika dhana hii!
 
Marytina, hapa nilipo natetemeka kwa msisimko/light shock nilioupata wakati nasoma post yako-nilishasema nyie mkiguswa mnadai "sifikirii kabisa kuolewa kwa sasa" sasa kosa letu letu nini? Da Marytina, kumbuka kuwa "Bad money drives away good money out of supply"! au unasemaje na katika dhana hii!
kweli na kwa bongo ya leo anayesema sijaamua kuolewa anaacha maswali kibao ya kutushangaza.
by the way maisha magumu yanachangia wakaka kuchelewa kuoa jambo linalonipa wasiwasi sana.
Girls tukiwa pamoja tunaelezana tunavyotamani ndoa ila kwenye hadhara tunajibu jabo hatujaamua. Na nyie wakaka mtakuwa munakosea kwa kukimbilia zenji ilihali bara tumejaa
 
EAC kuna issue zake, wadada wa kenya ni ma-opportunist tu, waganda nao wanaenda hukohuko hasa baganda's watutsi ni balaa usipime.
Fanya utafit kila aliyeoa mtusi utakuta watoto wanafanana na mama kwa mwonekano kwa kisingizio kuwa watutsi wana damu kali, but the truth is terrifying.

Wanawake wa kitutsi wana tabia moja, ikiwa mume wake si mtutsi na hajui tabia zao, on every danger days (zile possible za kupata mimba) lazima awe na mwanaume mtutsi mwenzake pembeni kama inawezekana, hata kama ni uncle wake au binamu yake ambaye atahakikisha in those days jamaa anamega kabla ya mume hata kama ni mchana, ili kama ni mimba iwe ni ya mtutsi na si asiye mtutsi. Besides inasemekana ni Feminine soxiety - watoto ni wa mama si baba. So be careful if you have a dream of marrying a tutsi nawe si mtutsi.

dah mkuu hapo kwa wakenya umegonga mulemule.. kuhusu wa litutsi sina uhakika
 
wakaka mkianza hizo sie wadada wa bara tuolewe na akina nani???

Tatizo nyie mko juu ya matumaini yenu kuliko mafanikio yenu. Mnataka kuolewa mpaka mpate PhD, na kazi juu-ukiangalia mfumo wa elimu ya kibongo ni 2+7+4+2+3/4+2+5 + ya kutafuta ajira=si chini ya 40years, na kwa kuwa jamii haijazoea mwanamke kumzidi umri mwanamme it means mume wa msomi huyu ni lazima awe over 40years(ambao ni wachache kukuta hawana back-to-house zao; kwa wale wa namba 1/4=.25 anakubali kuolewa kama mke wa pili/tatu au wa nne na anachukua fraction yake. Kwa wale 1/1=1 inakuwa mtihani hapo kupata wako wa peke yako. As graph approach to infinity, mdada anaona bora ajaribu bahati yake kwa yeyote yule aliye mbele yake japo kwa ku-refresh mind, wakitokea watatu na wote wamepita tu then jamii inakuona we kibuna njia so hata wale wakweli wana-disappear! Haaa, tahamaki mara 50years hiyo, baci unageukia usagaji na maisha ya uzee yanakuja. Kwa kutambua hili, ndo maana tunafanya tunavyofanyaaaa bi martyna wee!
 
Mimi ni mzanzibari nimeowa mtanganyika,toto toto bata ndio usiseme jamanii wala simuachii,niponae zenji hapa fordhani tunakula mishkaki,na mke wangu tumezaa watoto 6 na sasa mjamzito,mtoto wangu wa mwanzo ana miaka 7.

Cha kushangaza sasa mke wangu anashabikia tuvunje muungano,najiuliza kwa sababu gani,anasema kwa sababu ya maslahi ya nchi yetu na vizazi vyetu ambao ni watoto wetu na watakao kuja baadae,ninamuuliza lakini si tumeowana wakwe zangu jee,jibu alijibu kuwa udugu hautengani,bado tutaendelea kuwa ndugu,zilizotengwanishwa ni nchi tu,akinipa mfano kaka yake yupo Sweeden ana mke mzungu,na sasa watarudi tanzania na mkewe,jee hawa ndoa imevunjika,haikuvunjika,jee uduguu upo ? upoo.

Kwa kweli nilimfahamu vya kutosha.

Na nawaambia walimwengu wote,kuwa hata uvunjike muungano bado ndugu,na tunaendelea kuwa ndugu,matembezi yetu ndio yametufanya tuwe ndugu,kila kona watu wamechanganyika,wameowana,ndio udugu.

Wacha tuvunje muungano,mke wangu simuachi,na nishampa kipande cha uzanzbari,na ataitetea nchi yangu kwa nguvu zote ameniapia,ni sawa unapopewa uraia wa nchie nyengine unaapishwa kuwa utaitetea nchi hio kwa mujibu wa sheria za nchi.

Nampenda sana mke wangu rose/kwa nija la zanzbar la kumsilimisha namwita Nuwairat..
 
Back
Top Bottom