Natafuta mchumba/mume

sasa tatizo mi za huko tz sizifaham wallah,,lakini sisi wote family yetu tumesoma hapa sharja islam university na kaka zang wawili wao ni maustadh wa hapo wallah wasomesha vizuri sana,,allah atakusaidia inshallah ufanikiwe ya rabb,
Are u sure that sharja Isl. University ze only Univer. offering such stage of !!?
 
I LIKE U CHEUSMANGALA:A S-rose::A S-rose:,NILKUWA NAOGOPA KUINGIA KWENYE POST ZAKO KWA AJILI WE HUKUNIKARIBISHA NA MI NI MGENI..,,

samahani my dear kwa kutopata wasaa wakukukaribisha kwa maneno ila fahamu moyonni mwangu nishakukaribisha.
I like you too honey!
 
such stage of what chamajani??si umesema wataka kuCOMPlete the holly quran,,so whatS up now,,,if u a in need u can improve it by doing that,,,
are u sure that sharja isl. University ze only univer. Offering such stage of !!?
 
yaani huko kooote tangu digirii ya 1 sasa unasoma ya 2 hujakutana wa kupendana, Jaribu kuwa na wanaume hasa wakati wa discussion halafu jipendekeze pendekeze kimahaba kwa unayemuona anakufaa ikiwezekana vunja ukimya naye utapata jibu
 
Mimi niko 28 natafuta mume.
Awe mkristo, awe serious na maisha.
Nategemea tutasaidiana kimaisha maana nami nimesoma nina degree na niko shule nasoma masters kwa wakati huu.
Kupima afya ni first greetings na kushiriki kwenye maombi ni muhimu.
Mengine tutauzana kwa atakaye nicontact.
Aliye serious ani email at m82y2k@yahoo.com

Clarification:

1. (Red): Je unasali katika makanisa ya kilokole?
2. Utaifa wako, kabila
3.Profession

Mwombe Mungu, utampata mchumba uliyepangiwa tangu kuumbwa kwa dunia. Ila nakuomba usiwapapatikie wanaume, maana wengi wetu ni wadanganyifu.
 
yaani huko kooote tangu digirii ya 1 sasa unasoma ya 2 hujakutana wa kupendana, Jaribu kuwa na wanaume hasa wakati wa discussion halafu jipendekeze pendekeze kimahaba kwa unayemuona anakufaa ikiwezekana vunja ukimya naye utapata jibu

Amkumbe Rah+ tac aids= usione soo sema nae, au sio kimbweka
 
Nakutakia heri mungu akupatie mchumba kama alivyonipatia mie wangu kutoka hapa hapa.
Tanguliza maombi kwani ni muhimu.
Kila la kheri.

Cheusi nimefurahi kufahamu kuwa kumbe umepata mchumba kutoka humu, safi sana! is this UPOROTO01?
Hongera sana kwa wote wawili:A S crown-1::A S crown-1:
 
Dada CV yako ni nzuri, why would you look for husband in here. Hakuna muoaji hapa wote wamegaji tu.
All the best.
 
Wee mdada uko serious? Ila mpaka 28yrs haujawa specific,fanya fasta umri unaanza kuacha njia huo. Anyway bila utani nakutakia mafanikio. Nina vigezo vyote,nina elimu/mhasibu ila tumepishana kwenye umri apo! Mi nko 25yrs,wee 28, 3yrs ahead of me z much, I continue to seek one of my life ,and thus all the best!
Kweli hamko serious wakaka wa hum jf, na mnaùnja moyo, kwa hiyo umeamua kisingizio iwe umri, haa haaa dada wa watu bora aingie kwenye dating site ajipatie kizee chake cha miaka 80.
 
Clarification:

1. (Red): Je unasali katika makanisa ya kilokole?
2. Utaifa wako, kabila
3.Profession

Mwombe Mungu, utampata mchumba uliyepangiwa tangu kuumbwa kwa dunia. Ila nakuomba usiwapapatikie wanaume, maana wengi wetu ni wadanganyifu.

Heee sasa hayo maswali yote ya nini' dhehebu, kabila, na wakati kumbe unamaliza kwakumshauri, mi nijua maswali yote umeamua kujinyakulia kimwana, kumbe na wewe miyayusho aisee.
 
Kwa nini watu wengi wanatumia elimu ndio kigezo kwani kuolewa inaolewa degree yako au ni wewe mwenyewe? Eti nina masters so what?? Mwenza hutoka kwa mungu uwe umesoma hujasoma mungu akikubariki hakuna atayapinga. Acheni ulimbukeni. Mwombe mungu atakupa na kujaza haja za moyo wako.
 
Kweli hamko serious wakaka wa hum jf, na mnaùnja moyo, kwa hiyo umeamua kisingizio iwe umri, haa haaa dada wa watu bora aingie kwenye dating site ajipatie kizee chake cha miaka 80.

wengine wanajifanya hapa hawako serious ukiwakuta kwa email kwani utajua ni wao,hapo mails kibao zinamiminika kwa dada.
 
wengine wanajifanya hapa hawako serious ukiwakuta kwa email kwani utajua ni wao,hapo mails kibao zinamiminika kwa dada.
Ndugu, sim je? Wengine watajirusha kabsaaa wapige wee sasa mi sijui huyu dada atakubali yupi aache yupi, manaake safari ya mamba na kenge wamo, mi naona mume hakuna hapo.
 
Kwa nini watu wengi wanatumia elimu ndio kigezo kwani kuolewa inaolewa degree yako au ni wewe mwenyewe? Eti nina masters so what?? Mwenza hutoka kwa mungu uwe umesoma hujasoma mungu akikubariki hakuna atayapinga. Acheni ulimbukeni. Mwombe mungu atakupa na kujaza haja za moyo wako.
Good pakawa, mwambie ajue, wenye PHD Nyumba zimewashinda, wanagombana ushauri na ugomvi unaenda kumalizwa na wazee au mchungaji ambaye ni std 7. Kwenye nyumba hakuna ujuzi wala usomi, ni mungu awe ametoa kibali tu ndo mtafurahia ndoa yenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom