Natafuta mchumba mpole

Kwa dhati kabisa natangaza nia ya kutafuta mchumba kati ya miaka 18 ma 21
Awe mpole,Mzuri,Mtaratibu,asiwe mtata mtata kama members wa JF,Ajiamini,awe na mipango na mikakati yake ya kimaisha kwa maana ya kwamba mtu mwenye kushuhulika,Mimi ni mkristo lakini ningependa sana binti wa Kiislam,Napenda sana binti akiwa katika lile vazi (hijabu),Sina nia ya Kuoa kwani Umri na Majukumu niliyonayo sasa hayaruhusu...Lakini nina mpango wa kuwa na Gal mmoja tu asiyependa vya bure bure hata kama ni kutoka kwa mpenzi....Nina nia ya dhati kabisa ya kuwa na mpenzi...Kama yupo binti mwenye nia kama yangu ajitokeze tafadhali na kuni PM...atakayenibeza kwa hili ombi langu naahidi kumtusi hapa hapa JF...wacha iniharibie CV kwa mpenzi msubiriwa...mtarajiwa

Sasa mbona unatafutia JF atatoka wapi huyo ambae sio mtata wakati nae ni member wa JF ulipotoa tangazo??? Au unataka wadogo zetu ambao sio member wa JF??
 
Kwa dhati kabisa natangaza nia ya kutafuta mchumba kati ya miaka 18 ma 21
Awe mpole,Mzuri,Mtaratibu,asiwe mtata mtata kama members wa JF,Ajiamini,awe na mipango na mikakati yake ya kimaisha kwa maana ya kwamba mtu mwenye kushuhulika,Mimi ni mkristo lakini ningependa sana binti wa Kiislam,Napenda sana binti akiwa katika lile vazi (hijabu),Sina nia ya Kuoa kwani Umri na Majukumu niliyonayo sasa hayaruhusu...Lakini nina mpango wa kuwa na Gal mmoja tu asiyependa vya bure bure hata kama ni kutoka kwa mpenzi....Nina nia ya dhati kabisa ya kuwa na mpenzi...Kama yupo binti mwenye nia kama yangu ajitokeze tafadhali na kuni PM...atakayenibeza kwa hili ombi langu naahidi kumtusi hapa hapa JF...wacha iniharibie CV kwa mpenzi msubiriwa...mtarajiwa

Uko jela mpaka uagizie mchumba au una matatizo ya kum-approach binti na kujieleza shida zako,yaani kutogoza. Jamani tunaoweza kutongoza kumbe tuna vipaji ambavo wengine hawana!!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom