Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
khaaa! Kwahiyo sisi wanafunzi haturuhusiwi kuapply?
ndiyo mtuache sisi tuliomaliza shule tutume maomb
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
khaaa! Kwahiyo sisi wanafunzi haturuhusiwi kuapply?
Namaanisha utajikuta kwenye mikono mibaya angalia!KK jaman mbona unanitsha ehh kwa iyo unamaanisha nikangukia kwa jamaa apa KIRANGA KITANIIISHA AU UNAMAANISHA NIN?
jaman na mimi asi nimemjibu tu?usijali utakuwa best man kakakiiza au sio?
atafanikiwa/tutafanikiwa
we ntakuweka kwenye kamat ya wagen asi poa au unataka ya vnywaji?
ehh katav jaman ..asi angesema mwenyewe mbna ivi?
ebu nkachek inbox yangu mie
mwenyewe ajalalamika nyinyin tu ..muanze muanze ...ehh nyinyi msubiri tu kupangwa kwenye kamat basi ahhh mimi nina urefu wa fut 9.6 km nimekosea ntarekebsha badaye
ndiyo mtuache sisi tuliomaliza shule tutume maomb
Si ulisema utahakikisha hauvunji moyo wangu imekuwaje tena mbona naona unaanza kuteleza kwa mwingine kama kambale vilesio na mimi nitume halafu tutanigoshieti?
Si ulisema utahakikisha hauvunji moyo wangu imekuwaje tena mbona naona unaanza kuteleza kwa mwingine kama kambale vile
sio na mimi nitume halafu tutanigoshieti?
Si ulisema utahakikisha hauvunji moyo wangu imekuwaje tena mbona naona unaanza kuteleza kwa mwingine kama kambale vile
Embu kwanza edit hilo jina kidogo..kama wewe ni wa kiume na sio mwanaume hujafikia kuwa na mke.Ila umenifurahisha kwamba umeweka sifa zako na wewe.Ngoja nikupe Thanks...alafu kila la kheri umpate wa kike au mwanamke wakukufaa!
Ahahahaaah!! mwenyewe huenda hata pm hajui maana yake kwa sababu ni mgeni, ndio maana wadau wanakuomba wewe umuanze!!
Namaanisha utajikuta kwenye mikono mibaya angalia!
sasa sijajua kama tutafanyiwa usaili au lah!! na je kama tutafanyiwa usaili nikifell je itakuwaje?? ila ngoja nitume application zangu!!!
ila sasa hili tumbo la kitimoto na ndizi za kurost ndio litaniangusha hapa lazima Rose1980 anipige bao!!!
Kamati ya wageni itanifaa zaidi..